Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 352
Huyu ni accountant by professional ana degree yake na anafanya kazi katika sector ya madini.Kama mine account and Internal Payment.
Katika kupanua mipaka yake ya kuelewa..anapenda kusoma IT ili kuongeza uwezo wake katika kutumia computer na mawasiliano kwa ujumla.Kabla hajafanya hivyo angependa kusom ambacho hakita mtoa kabisa kwenye Accounts,yaani afanya course za computer zinazoweza kuwa applied kwenye accounts.Kama nimeeleka naomba mnisaidie kwa ushauri kwa hili.
Najua JF kisima cha elimu na maujuzi.
Katika kupanua mipaka yake ya kuelewa..anapenda kusoma IT ili kuongeza uwezo wake katika kutumia computer na mawasiliano kwa ujumla.Kabla hajafanya hivyo angependa kusom ambacho hakita mtoa kabisa kwenye Accounts,yaani afanya course za computer zinazoweza kuwa applied kwenye accounts.Kama nimeeleka naomba mnisaidie kwa ushauri kwa hili.
Najua JF kisima cha elimu na maujuzi.