Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,813
Hapo lazima uchome account kama vile forex!
Hii noma sana mkuuSITAKI.....!!!.Potelea mbali, acha nisiwe mwanaume halisi. Liwalo na liwe...
![]()

kwa wabishi kama mimi mbona hapo hata nauli hapewi
Hongera kwa kwa kuwa mkweliHapo kwa nilivo Mimi.... Natoa zote, nampa zote!