According to your ex, what is wrong about you?

According to your ex, what is wrong about you?

Screenshot_20250226-174724~2.jpg
 
Aaaah hahahahahah asa ndio sababu gani hiyo 😁😁😁.
Sema labda jamaa kaogopa kama ulimzidi elimu anajua hatakuweza
pia sikuelewa vizuri sababu hiyo maana ilikua kila siku nikitoa maelekezo au mawazo ya kifamilia analalama tu, ooh wewe si ndio mwenye elimu, sisi wengine hatujasoma na hatuna mawazo n.k

mwishowe akasonga mbele na sikua na haja ya kubabaika nae mpaka kesho japo tulifanikiwa kupata kijana moja wa kike pamoja 🐒
 
Back
Top Bottom