According to biocentrism, death is an illusion: Kwa anayeifahamu nadharia ya biocentrism anielezee kwa manufaaa ya wengine pia

Binaadamu tunaishi nao mkuu ila ni tofauti na Mungu,hakuna anayeishi nae wala aliyewahi kumfanyia uchunguzi huko aliko na kuja na mrejesho.
Hujanielewa. Jiulize wewe ni nini? Ni Mwili? Au Ni Roho? Mungu amemuumba binadamu kwa mfano wake. Je huo mfano ni Kama Mwili? Au kama Roho? Kukusaidia Binadamu ni Roho inayotumia akili kupata Busara na yakutumikisha mwili kutenda na ayatakayo. Mwili unaumbwa na mwanadamu kuanzia mimba na kuendelezwa kuumbwa na mwenye mwili kwa kula chakula, Kuvuta hewa na kunywa Maji, unabadilika ukubwa na unazeeka kutoka Mimba, Utoto, Ujana, Mpaka Uzee na hufa baada kuachwa na Roho. Kama vile Roho ilivyoingia kwenye mimba ndivyo inavyotoka siku mwili unapokufa. Roho haifi bali mwili unakufa. Sasa kama binadamu ni Mwili basi anakufa lakini kama Roho hafi. Kwa jibu la mtoa mada kuwa kifo fake, its true on Self(Roho) side. Yaano kwa Roho itajikuta kama imetoka ndotoni lakini kwa kiulimwengu (wafiwa) wataona ndugu yao amekufa kwani hawana uwezo wa kuiona Roho. Sasa pale niliposema ukitaka kumjua mungu anza kumjua binadamu na anza na wewe nilikuwa na maana in English, If you want to know God start by finding your true identity. Ukiweza jua wewe ni Roho, na ukaweza kuwa Rohoni kwako, utaweza kujua nini Roho yako inataka katika uhai wake ndani ya mwili wako, na mahusiana yako na viumbe vingine na ulimwengu kwa ujumla, Asili yake nini?, umetoka wapi na nini kitafuata baada kuwacha mwili yaani kifo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuota unapolala inategemeana na subconcious dream centre imeamua nini siku hiyo....

kila ukilala ni lazima kutokea concious shift na inategemea na subconcious dream centre imeamua imepokea backup intensity katika level ipi ...

kila ukilala ni lazima itokee concious shift ambapo kunakuwa na shifting ya recognition awareness kutoka illusion plane of reality kwenda another plane of realm...

hivyo basi mtu ili aweze kukumbuka alicho ota inategemea na cognition turn ya ubongo wake juu ya tukio lile...

Kuna ndoto zingine unaweza ukaota lakini kufikia asubuhi au ukiamka unashindwa kujua kama uliota au laaa...
Na hii ni kutokana na cognition memory center kushindwa kuleta taarifa kwa haraka zaidi kwenye concious centre ya ubongo ili uweze kukumbuka ulipokuwa kwenye hiyo plane nyingine ya maisha...

Frequency na intensity ya concious shift ndo inayodetermine mtu kukumbuka au laaah ..


kila ndoto ina threshold ( Intensity) maalumu katika kufanyiwa backup memory kwenye cognition centre...

Threshold filter ya intensity ya ndoto ipo kwa ajili ya kufilter hizo shifting frequency katika plane tofauti...

kama mtu umeanza kuota na Intensity ya kushift from concious awareness kwenda plane nyingine ni ndogo manake concious memory centre itashindwa kupokea back up za mazingira ambako concious yako imeenda na ukiamka hutakumbuka ulichokuwa unakifanya ndotoni...

Ila kama concious shift frequency ipo above threshold level, lazima kutakuwa na back up ya taarifa kwenye cognition memory centre na ukiamka lazima back up itafanyika na utakumbuka ulichokuwa unakifanya....

N.B ...inasemekana kuwa mtu anapokuwa anakufa ,concious shifting huwa inakuwa katika frequency level ya juu sana ( Ultrasonic concious shifting) kiasi cha kumfanya mtu kushindwa kuwa back kwenye normal level ya reality anayokuwa anaishi mtu..

Ni Ultrasonic range ya concious shift ambapo concious shift huwa inahama katika plane za juu sana na energy kubwa inahitajika kurudisha kwenye normal level...thats how somebody dies..

Sent using Jamii Forums mobile app
.....Dah, we jamaa hatakama umetudanganya mi nimekupa like tu ivo ivo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukishakufa manake concious awareness yako inakuwa imehama kutoka plane moja ya reality into other plane za realm...

Ukishakufa huwezi rudi kwenye plane yako ya zamani kwa sababu Quantum shifting inakuwa na energy kubwa sana ...kukurudisha kunahitaji Energy kubwa sana kuzidi ile ya ultrasonic ambayo huwa inahamisha conciousness kutoka one plane to another plane of realm...

Ni lazima energy iwe kubwa snaa kurudisha hiyo concious iliyoshift



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu I have been following your comments from the start but here I come up with a question. Sasa conscious awareness ikishahamishwa kwa energy kubwa ambayo kukurudisha katika plane ya mwanzo ambayo ni hii reality ni ngumu, huko ilipoenda katika realms za juu sana conscious awareness ina attain mwili mwingine ama vipi?
Nitafurahi kama nitapata mfano wa mtu aliyefika kwenye hizo higher realms na kurudi na knowledge hii kwasisi ambao awareness zetu mpaka sasa zinasafirigi kwa energy ndogo.
Na kama hakuna mfano wa mtu wa aina hiyo; je hii knowledge tumeijua vipi?
Thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujanielewa. Jiulize wewe ni nini? Ni Mwili? Au Ni Roho? Mungu amemuumba binadamu kwa mfano wake. Je huo mfano ni Kama Mwili? Au kama Roho? Kukusaidia Binadamu ni Roho inayotumia akili kupata Busara na yakutumikisha mwili kutenda na ayatakayo. Mwili unaumbwa na mwanadamu kuanzia mimba na kuendelezwa kuumbwa na mwenye mwili kwa kula chakula, Kuvuta hewa na kunywa Maji, unabadilika ukubwa na unazeeka kutoka Mimba, Utoto, Ujana, Mpaka Uzee na hufa baada kuachwa na Roho. Kama vile Roho ilivyoingia kwenye mimba ndivyo inavyotoka siku mwili unapokufa. Roho haifi bali mwili unakufa. Sasa kama binadamu ni Mwili basi anakufa lakini kama Roho hafi. Kwa jibu la mtoa mada kuwa kifo fake, its true on Self(Roho) side. Yaano kwa Roho itajikuta kama imetoka ndotoni lakini kwa kiulimwengu (wafiwa) wataona ndugu yao amekufa kwani hawana uwezo wa kuiona Roho. Sasa pale niliposema ukitaka kumjua mungu anza kumjua binadamu na anza na wewe nilikuwa na maana in English, If you want to know God start by finding your true identity. Ukiweza jua wewe ni Roho, na ukaweza kuwa Rohoni kwako, utaweza kujua nini Roho yako inataka katika uhai wake ndani ya mwili wako, na mahusiana yako na viumbe vingine na ulimwengu kwa ujumla, Asili yake nini?, umetoka wapi na nini kitafuata baada kuwacha mwili yaani kifo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanini nafsi umeipa mjengeko wa sentensi kwa "Kiulizi jina cha nini na isiwe nani ?"

Kuna muda haya mambo yanapo jadiliwa mtu uwe na ufahamu wa lugha pia.

Lugha gani inayo ruhusu kumuelezea binadamu kwa kiulizi jina cha "nini" ?
 
Mkuu I have been following your comments from the start but here I come up with a question. Sasa conscious awareness ikishahamishwa kwa energy kubwa ambayo kukurudisha katika plane ya mwanzo ambayo ni hii reality ni ngumu, huko ilipoenda katika realms za juu sana conscious awareness ina attain mwili mwingine ama vipi?
Nitafurahi kama nitapata mfano wa mtu aliyefika kwenye hizo higher realms na kurudi na knowledge hii kwasisi ambao awareness zetu mpaka sasa zinasafirigi kwa energy ndogo.
Na kama hakuna mfano wa mtu wa aina hiyo; je hii knowledge tumeijua vipi?
Thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
The body has nothing to do with your concious awareness....

kila unachokiona katika maumbo tofauti ni concious katika morphology tofauti...

Hata hiyo miti inayoiona inaposses concious awareness katika degree ndogo sana ndo mana sisi tuna contunnum range kubwa kuliko viumbe kama wanyama na ndege kiasi cha kukufanya uwe na range kubwa ya kuundergo adaptation nyingi sana...

Kuna billions chance katika morphology tofauti za kuifanya concious awareness itulie( rest) ...

Kuna kitu kinaitwa Esoteric knowledge ,huu ni ufahamu ambao hupewa watu wachache sio lazima watu wote waelewe...

its like dakatari anasomea jinsi ya kutibu and he (she) knows how the drugs do inside the body( mechanism of action) lakini haimanishi kuwa madaktari wanaingia ndani ya mwili ku anticipate mechanism of action ,its just the way wanavyosoma katika syllubus zao ndo wanajikuta wanaelewa hivyo...but reality kuna watu wanajua how to manufacture those drugs..

Daktari kujua mechanism ya dawa hakukufanyi umulize kuwa alishawahi kuingia kwenye mwili akashuhudia jinsi dawa inavyoua bacteria....hii ndo kitu ambayo inapaswa uifahamu and you must believe ....

There are some teachings we call them ESOTERIC ,few people are taught how reality works na ukweli lazima uwe vile...

Swala la kuuliza how body morphologies do our concious awareness attain at high realms ni ngumu kuielezea kwa sababu inatolea kama Esoteric...


Kila kiumbe na range yake ya kutambua mabadiliko katika mazingira yanayomzunguka...

We human being tuna range kubwa ya kuundergo adaptations lakini tuna receive frequency za cognition katika lowest dimension crystal...

Tunazidiwa na Eagle ambaye ana high range ya kutambua mabadiliko ambayo yanakuja kumwathiri hata 1 month before na anatake into action kuliko mwanadamu...thus why secret societies use well Eagle katika kufanikiwa mambo yao...wanamtumia kusense mabadikiko ya concious ya mwanadamu before hata hajaweza ku be subjected kwenye mazingira tofauti kulingans na case study wanayotaka kumfanyia mwanadamu..


Mbwa na paka ni viumbe ambao wana higher range ya kusense concious shift kuliko mnyama yeyote ndo mana kabla hawajafa au kama kuna hatari huwa wanaanza kusepa mapema kabsaa mbali na mazingira yao...mbwa hawezi kufa mazingira ya nyumbani kwake....huwa anajua kabisa something bad is happening to me soon kisha anachagua mazingira ya kufia...

Ukitaka kudhihirisha hilo jiulize kwanini wazungu au watu ambao wapo civilized wanapenda sana kufuga mbwa au paka ...sio urembo...they have esoteric knowlege on how importance they posses kwenye maisha yetu...

Angalia hata sehemu zenye Earthquake Belt( Ukanda wa matetemeko) wanaoangamia zaidi ni binadamu na wanyama wengine lakini mbwa na paka huwa wanasavaivu na huwa wana uwezo wa kusense danger before haijatokea hata week moja kisha wanaanza kuhama makazi...

So swala la kujiuliza how body morphology do our concious attain ni swala ambalo ni wide range kwa sababu inategemea na level ya realm ambapo concious yake imeenda ku land depending na level ya conciousness uliyokuwa nayo before you died...




Sent using Jamii Forums mobile app
 
The body has nothing to do with your concious awareness....

kila unachokiona katika maumbo tofauti ni concious katika morphology tofauti...

Hata hiyo miti inayoiona inaposses concious awareness katika degree ndogo sana ndo mana sisi tuna contunnum range kubwa kuliko viumbe kama wanyama na ndege kiasi cha kukufanya uwe na range kubwa ya kuundergo adaptation nyingi sana...

Kuna billions chance katika morphology tofauti za kuifanya concious awareness itulie( rest) ...

Kuna kitu kinaitwa Esoteric knowledge ,huu ni ufahamu ambao hupewa watu wachache sio lazima watu wote waelewe...

its like dakatari anasomea jinsi ya kutibu and he (she) knows how the drugs do inside the body( mechanism of action) lakini haimanishi kuwa madaktari wanaingia ndani ya mwili ku anticipate mechanism of action ,its just the way wanavyosoma katika syllubus zao ndo wanajikuta wanaelewa hivyo...but reality kuna watu wanajua how to manufacture those drugs..

Daktari kujua mechanism ya dawa hakukufanyi umulize kuwa alishawahi kuingia kwenye mwili akashuhudia jinsi dawa inavyoua bacteria....hii ndo kitu ambayo inapaswa uifahamu and you must believe ....

There are some teachings we call them ESOTERIC ,few people are taught how reality works na ukweli lazima uwe vile...

Swala la kuuliza how body morphologies do our concious awareness attain at high realms ni ngumu kuielezea kwa sababu inatolea kama Esoteric...


Kila kiumbe na range yake ya kutambua mabadiliko katika mazingira yanayomzunguka...

We human being tuna range kubwa ya kuundergo adaptations lakini tuna receive frequency za cognition katika lowest dimension crystal...

Tunazidiwa na Eagle ambaye ana high range ya kutambua mabadiliko ambayo yanakuja kumwathiri hata 1 month before na anatake into action kuliko mwanadamu...thus why secret societies use well Eagle katika kufanikiwa mambo yao...wanamtumia kusense mabadikiko ya concious ya mwanadamu before hata hajaweza ku be subjected kwenye mazingira tofauti kulingans na case study wanayotaka kumfanyia mwanadamu..


Mbwa na paka ni viumbe ambao wana higher range ya kusense concious shift kuliko mnyama yeyote ndo mana kabla hawajafa au kama kuna hatari huwa wanaanza kusepa mapema kabsaa mbali na mazingira yao...mbwa hawezi kufa mazingira ya nyumbani kwake....huwa anajua kabisa something bad is happening to me soon kisha anachagua mazingira ya kufia...

Ukitaka kudhihirisha hilo jiulize kwanini wazungu au watu ambao wapo civilized wanapenda sana kufuga mbwa au paka ...sio urembo...they have esoteric knowlege on how importance they posses kwenye maisha yetu...

Angalia hata sehemu zenye Earthquake Belt( Ukanda wa matetemeko) wanaoangamia zaidi ni binadamu na wanyama wengine lakini mbwa na paka huwa wanasavaivu na huwa wana uwezo wa kusense danger before haijatokea hata week moja kisha wanaanza kuhama makazi...

So swala la kujiuliza how body morphology do our concious attain ni swala ambalo ni wide range kwa sababu inategemea na level ya realm ambapo concious yake imeenda ku land depending na level ya conciousness uliyokuwa nayo before you died...




Sent using Jamii Forums mobile app
This is the knowledge of Ageless wisdom. How can we differentiate this from meditation's contents?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu umeongea mengi sana lakini ndani ya ulichoongea naamini kuna kitu una lag behind...
Naomba nikulize kitu ...what is the difference between dream and real katika maisha ya kawaida ya mwanadamu...??

Unaweza ukatofautisha between dream and real katika illusion uliyonayo...??

Nimekuliza hivo simply because maneno yako uliyosema kuwa unaweza ota unafukuzwa na simba kumbe ni ndoto tu...

Unaweza toa utofauti katika reality between real and dream??

Does somebody become aware if he /she is dreaming ??

kama huwezi tofautisha kati ya real and dream basi usiseme bado unaota au upo katika maisha ya kawaida...

Ndivyo ilivyo hata mtu akipata usingizi,concious yake huwa inampeleka kwenye maisha ambayo huwa anadhani ni kweli na huwa anafaiti kuyamaintain na ndo mana mtu akiota anakimbizwa na nyoka au simba atakimbia sana kadri anavyoweza ili mradi alinde maisha yale na hawezi jua kama anaota ila mpaka atakaposhituka ndo atajua kuwa alikuwa anaota na atazalau sana na kuahidi kuwa hataweza tena kuogopa kitu chochote akiwa ndotoni but when he sleeps again huota ndoto ambazo matukio anayoyafanya huyapigania ajiokoe....

Ndo mana ni ngumu kusema real na dreal ni ipi ina mazingira harisi tunayoyaishi...illusion ipo pote mkuu..

Hujawahi patwa na mikasa ambayo umefanya blunder ( mistake ) za kufa mtu ila unatamani zigeuke ziwe ndoto ili ukiamka iwe kama ulikuwa unaota kisha uendelee na maisha mengine lakini ngoma inafell ...!!ulishawahi patwa na mkasa wowote ambao jamiii inaenda kuushuhudia kwa aibu kali...??ila ukatamani iwe ndoto. .!!?? Naona hujawahi

ndivyo ilivyo hata kwenye ndoto unakuwa unaota umeshika mabilioni ya pesa lakini unamka asubuhi hola na unalaaani sana kitendo kile kuwa kwanini kisiwe reality....lakini ukiambiwa leo hii kuwa ni yapi mazingira ungeyachagua kati ya maisha uliyoyapata ndotoni na unayoyaishi katika concious form...?? ni yapi yangekupendeza...??


Basi ndivyo ilivyo ngumu kujua which is real between Dream and reality ya kimachomacho....

Death has codes to eplain the reality behind.....

Kuna fumbo kubwa juu ya uhalisia unaouishi mkuu....ukitaka kujua kuwa dreams unazoota zinamata sana jaribu kujiuliza kwanini kila ndoto mbaya unayoota huwa haifiki mwisho.....?? na siku ukikamatwa ukiwa ndotoni what will happen?? ulishawahi jiuliza ...?!



Manake nini, kama ulikuwa unaota unakimbizwa na nyoka au simba ile amekaribia kukukamata huwa unashituka gafla na ndoto inaishia pale ..kama isingekuwa na maana basi angekugonga halafu ukasikilizia maumivu huko huko ndotoni ila kwanini kuna kitu kinakuamsha fasta ili usipatwe na tukio lile...


(kuna kitu)......


Ndo mana wanakwambia kuwa dreams reflect another part of your life mkuu...there is somewhere (place in dimension plane) or different plane where your soul goes in both concious and dream life conditions..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu umeongea mengi sana lakini ndani ya ulichoongea naamini kuna kitu una lag behind...
Naomba nikulize kitu ...what is the difference between dream and real katika maisha ya kawaida ya mwanadamu...??

Unaweza ukatofautisha between dream and real katika illusion uliyonayo...??

Nimekuliza hivo simply because maneno yako uliyosema kuwa unaweza ota unafukuzwa na simba kumbe ni ndoto tu...

Unaweza toa utofauti katika reality between real and dream??

Does somebody become aware if he /she is dreaming ??

kama huwezi tofautisha kati ya real and dream basi usiseme bado unaota au upo katika maisha ya kawaida...

Ndivyo ilivyo hata mtu akipata usingizi,concious yake huwa inampeleka kwenye maisha ambayo huwa anadhani ni kweli na huwa anafaiti kuyamaintain na ndo mana mtu akiota anakimbizwa na nyoka au simba atakimbia sana kadri anavyoweza ili mradi alinde maisha yale na hawezi jua kama anaota ila mpaka atakaposhituka ndo atajua kuwa alikuwa anaota na atazalau sana na kuahidi kuwa hataweza tena kuogopa kitu chochote akiwa ndotoni but when he sleeps again huota ndoto ambazo matukio anayoyafanya huyapigania ajiokoe....

Ndo mana ni ngumu kusema real na dreal ni ipi ina mazingira harisi tunayoyaishi...illusion ipo pote mkuu..

Hujawahi patwa na mikasa ambayo umefanya blunder ( mistake ) za kufa mtu ila unatamani zigeuke ziwe ndoto ili ukiamka iwe kama ulikuwa unaota kisha uendelee na maisha mengine lakini ngoma inafell ...!!ulishawahi patwa na mkasa wowote ambao jamiii inaenda kuushuhudia kwa aibu kali...??ila ukatamani iwe ndoto. .!!?? Naona hujawahi

ndivyo ilivyo hata kwenye ndoto unakuwa unaota umeshika mabilioni ya pesa lakini unamka asubuhi hola na unalaaani sana kitendo kile kuwa kwanini kisiwe reality....lakini ukiambiwa leo hii kuwa ni yapi mazingira ungeyachagua kati ya maisha uliyoyapata ndotoni na unayoyaishi katika concious form...?? ni yapi yangekupendeza...??


Basi ndivyo ilivyo ngumu kujua which is real between Dream and reality ya kimachomacho....

Death has codes to eplain the reality behind.....

Kuna fumbo kubwa juu ya uhalisia unaouishi mkuu....ukitaka kujua kuwa dreams unazoota zinamata sana jaribu kujiuliza kwanini kila ndoto mbaya unayoota huwa haifiki mwisho.....?? na siku ukikamatwa ukiwa ndotoni what will happen?? ulishawahi jiuliza ...?!



MM NIMEKUELEWA SANA KIONGOZI WANGU!!!
 
Hujanielewa. Jiulize wewe ni nini? Ni Mwili? Au Ni Roho? Mungu amemuumba binadamu kwa mfano wake. Je huo mfano ni Kama Mwili? Au kama Roho? Kukusaidia Binadamu ni Roho inayotumia akili kupata Busara na yakutumikisha mwili kutenda na ayatakayo. Mwili unaumbwa na mwanadamu kuanzia mimba na kuendelezwa kuumbwa na mwenye mwili kwa kula chakula, Kuvuta hewa na kunywa Maji, unabadilika ukubwa na unazeeka kutoka Mimba, Utoto, Ujana, Mpaka Uzee na hufa baada kuachwa na Roho. Kama vile Roho ilivyoingia kwenye mimba ndivyo inavyotoka siku mwili unapokufa. Roho haifi bali mwili unakufa. Sasa kama binadamu ni Mwili basi anakufa lakini kama Roho hafi. Kwa jibu la mtoa mada kuwa kifo fake, its true on Self(Roho) side. Yaano kwa Roho itajikuta kama imetoka ndotoni lakini kwa kiulimwengu (wafiwa) wataona ndugu yao amekufa kwani hawana uwezo wa kuiona Roho. Sasa pale niliposema ukitaka kumjua mungu anza kumjua binadamu na anza na wewe nilikuwa na maana in English, If you want to know God start by finding your true identity. Ukiweza jua wewe ni Roho, na ukaweza kuwa Rohoni kwako, utaweza kujua nini Roho yako inataka katika uhai wake ndani ya mwili wako, na mahusiana yako na viumbe vingine na ulimwengu kwa ujumla, Asili yake nini?, umetoka wapi na nini kitafuata baada kuwacha mwili yaani kifo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado sijaona connection kati ya mtu kujijua mwenyewe na kumjua Mungu,labda sijaelewa huku kumjua Mungu ni kupi unakomaanisha wewe?
 
Unaongelea Exoteric non of it is Esoteric, its just loosely related ideas non of what your talking is true. Mzee ukweli ni mmoja tuu. Morphology na spiritual knowledge wapi na wapi, morphology ni form while self knowledge is in formlessness state. Unachanganya watu na hadithi ulizosoma kwenye vitabu vya watu akina Lambert. Ni heri u kote kitabu kuliko kujifanya una esoteric knowledge, esoteric knowledge haielezeki kirahisi hivyo, zile ni experience ambazo ukizipata baada ya exercise kufikisha awareness kwenye higher level of conciousness unaweza chukua hata mwaka kupata maana ya ulicho kiona na kukusikia and its to you comes by realization. Na ndio maana haifundishwi kwa vitabu wala simulizi. Ukisoma kabla ya kuexperience huelewi. Nimekujibu hivi kwasababu unapotosha watu wanataka kuelewa the real knowledge of creation. Unazungumzia miti na majani yes yana concious but where that concious comes from? Everything exist because you exist, without your existance there nothing, it is illusion.
The body has nothing to do with your concious awareness....

kila unachokiona katika maumbo tofauti ni concious katika morphology tofauti...

Hata hiyo miti inayoiona inaposses concious awareness katika degree ndogo sana ndo mana sisi tuna contunnum range kubwa kuliko viumbe kama wanyama na ndege kiasi cha kukufanya uwe na range kubwa ya kuundergo adaptation nyingi sana...

Kuna billions chance katika morphology tofauti za kuifanya concious awareness itulie( rest) ...

Kuna kitu kinaitwa Esoteric knowledge ,huu ni ufahamu ambao hupewa watu wachache sio lazima watu wote waelewe...

its like dakatari anasomea jinsi ya kutibu and he (she) knows how the drugs do inside the body( mechanism of action) lakini haimanishi kuwa madaktari wanaingia ndani ya mwili ku anticipate mechanism of action ,its just the way wanavyosoma katika syllubus zao ndo wanajikuta wanaelewa hivyo...but reality kuna watu wanajua how to manufacture those drugs..

Daktari kujua mechanism ya dawa hakukufanyi umulize kuwa alishawahi kuingia kwenye mwili akashuhudia jinsi dawa inavyoua bacteria....hii ndo kitu ambayo inapaswa uifahamu and you must believe ....

There are some teachings we call them ESOTERIC ,few people are taught how reality works na ukweli lazima uwe vile...

Swala la kuuliza how body morphologies do our concious awareness attain at high realms ni ngumu kuielezea kwa sababu inatolea kama Esoteric...


Kila kiumbe na range yake ya kutambua mabadiliko katika mazingira yanayomzunguka...

We human being tuna range kubwa ya kuundergo adaptations lakini tuna receive frequency za cognition katika lowest dimension crystal...

Tunazidiwa na Eagle ambaye ana high range ya kutambua mabadiliko ambayo yanakuja kumwathiri hata 1 month before na anatake into action kuliko mwanadamu...thus why secret societies use well Eagle katika kufanikiwa mambo yao...wanamtumia kusense mabadikiko ya concious ya mwanadamu before hata hajaweza ku be subjected kwenye mazingira tofauti kulingans na case study wanayotaka kumfanyia mwanadamu..


Mbwa na paka ni viumbe ambao wana higher range ya kusense concious shift kuliko mnyama yeyote ndo mana kabla hawajafa au kama kuna hatari huwa wanaanza kusepa mapema kabsaa mbali na mazingira yao...mbwa hawezi kufa mazingira ya nyumbani kwake....huwa anajua kabisa something bad is happening to me soon kisha anachagua mazingira ya kufia...

Ukitaka kudhihirisha hilo jiulize kwanini wazungu au watu ambao wapo civilized wanapenda sana kufuga mbwa au paka ...sio urembo...they have esoteric knowlege on how importance they posses kwenye maisha yetu...

Angalia hata sehemu zenye Earthquake Belt( Ukanda wa matetemeko) wanaoangamia zaidi ni binadamu na wanyama wengine lakini mbwa na paka huwa wanasavaivu na huwa wana uwezo wa kusense danger before haijatokea hata week moja kisha wanaanza kuhama makazi...

So swala la kujiuliza how body morphology do our concious attain ni swala ambalo ni wide range kwa sababu inategemea na level ya realm ambapo concious yake imeenda ku land depending na level ya conciousness uliyokuwa nayo before you died...




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaongelea Exoteric non of it is Esoteric, its just loosely related ideas non of what your talking is true. Mzee ukweli ni mmoja tuu. Morphology na spiritual knowledge wapi na wapi, morphology ni form while self knowledge is in formlessness state. Unachanganya watu na hadithi ulizosoma kwenye vitabu vya watu akina Lambert. Ni heri u kote kitabu kuliko kujifanya una esoteric knowledge, esoteric knowledge haielezeki kirahisi hivyo, zile ni experience ambazo ukizipata baada ya exercise kufikisha awareness kwenye higher level of conciousness unaweza chukua hata mwaka kupata maana ya ulicho kiona na kukusikia and its to you comes by realization. Na ndio maana haifundishwi kwa vitabu wala simulizi. Ukisoma kabla ya kuexperience huelewi. Nimekujibu hivi kwasababu unapotosha watu wanataka kuelewa the real knowledge of creation. Unazungumzia miti na majani yes yana concious but where that concious comes from? Everything exist because you exist, without your existance there nothing, it is illusion.

Sent using Jamii Forums mobile app
Did I say kuwa nina Esoteric knowledge au nilikuwa najibu swali la mtu aliyeuliza kuwa haya mambo watu wanafundihswa wapi...sijakuelewa zaidi ulitoa usemi huo kuwa nimesema nina esoteric knowldge...

Nimesema I believe juu ya hicho kitu...na kipo ...labda kama kuna sehemu nimecite kuwa nina esoteric knowledgr nioneshe .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I will mension teminology ulizo tumia;-

- Concious Shift
- Sub Concious dream Center
- Shift recognition awareness
- Recognation Memory Center
- Threxhold filter ya Memory

With those confusing names and others i just mentioned few and in the lines the using words esoteric knowledge you are confusing peoples as if you got those from so called "Esoteric" knowledge. I beeing persuer of Esoteric (Hidden) knowledge decide to question. Mamlaka hayo ya kuwaeleza watu kitu ambacho kumbe unaamini kuwa inawezekana ikawa hivyo kama vile ndio ukweli umeyapata wapi? Any way nimependa unavyojituma ku imagine things.

Tafuta mtu atayekufundisha technics ya kuingia Rohoni kwako, all knowledge are there, every you see or here is reflection of what you have go and tap it. Kumbuka hamna mtu alikufundisha kutambua Rangi utambuzi ulitoka ndani yako, wazazi na mwalimu wakufundisha kutaja mijina. The same to everything.
Did I say kuwa nina Esoteric knowledge au nilikuwa najibu swali la mtu aliyeuliza kuwa haya mambo watu wanafundihswa wapi...sijakuelewa zaidi ulitoa usemi huo kuwa nimesema nina esoteric knowldge...

Nimesema I believe juu ya hicho kitu...na kipo ...labda kama kuna sehemu nimecite kuwa nina esoteric knowledgr nioneshe .

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom