Access Denied

basi count days or weeks kisha mwambie leo siku ya uhuru na rais katoa msamaha kwa wafungwa wote wenye nidhamu nzuri gerezani nawe ummoja wao.Kwani umeitumikia adhabu kikamilifu.

atleast mkuu umenichekesha, una akili sana hapo tena naweza kupata hata hilo tabasamu lake..hihihi nitampeleka pale zhong hua kwa jide ijumaa halafu tukirudi home nimwambie darling rais katoa msamaha kwa wafungwa lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom