Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

CCM hawana huruma mkuu. Nakumbuka wale mawakala wa UKAWA waliokamatwa wakijumlisha matokeo ya urais nchi nzima (Tallying center) walifungiwa kuajiriwa serikalini au kusoma vyuo vya Tanzania MILELE!! yaani walikua blacklisted indefinitely

..hata James Mbatia wa Nccr alifukuzwa Udsm akiwa mwaka wa 3 au wa 4 faculty of Engineering.
 
Leo tujadili ugwiji wa miamba hii miwili; Asha Rose Migiro first class ya law UDSM na Mnyika TO Tanzania. Nani ametisha
Ametisha nini?

This is just status anxiety.

Migiro kaja New York City hapa UN kashindwa hata kujimix na diplomats, kashindwa kujifunza kwa wenzake kama kina Michelle Bachelet.

Alikuwa anafikiri UN politics ni kama siasa za umangimeza za CCM.

Akashindwa vibaya sana.

Mpaka leo ukiuliza Migiro kafanya nini UN hakuna mtu anayejua.

Mtu msomi ni yule anayejua kuyasoma mazingira na kwenda nayo.

Migiro hilo tu lilimshinda.
 
Mnyika huyu aliyefeli first year aka sepa kukimbilia kwa mbowe ndio unamlinganisha na gwiji wa UNO mama migoro kweli wewe zuzu

USSR

Mwongo alisoma miaka mitatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…