cacacuona
JF-Expert Member
- Feb 24, 2017
- 655
- 775
Wandugu mimi nimechoka kila siku tunafedheheshwa na hesabu ya deni la taifa. Mara utasikia kila mtanzania anadaiwa laki nane.
Sasa mimi naona endapo ikithibitishwa Acacia kutulipa yale matrioni tuliyoambiwa na mkuu naona tumalize deni la taifa kwanza tubaki na uhuru tupumue.
Sasa mimi naona endapo ikithibitishwa Acacia kutulipa yale matrioni tuliyoambiwa na mkuu naona tumalize deni la taifa kwanza tubaki na uhuru tupumue.