MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,257
Mimi nataka NOAH yangu, madeni si huwa yapo tu? Tutalipa tu!Wandugu mimi nimechoka kila siku tunafedheheshwa na hesabu ya deni la taifa. Mara utasikia kila mtanzania anadaiwa laki nane.
Sasa mimi naona endapo ikithibitishwa Acacia kutulipa yale matrioni tuliyoambiwa na mkuu naona tumalize deni la taifa kwanza tubaki na uhuru tupumue.