Acacia Options to Pay U$300m

Acacia Options to Pay U$300m

Msigwa kashaedit
6265c0c24a266b755754f5cf2fd6f480.jpg
 
Hivi hakuna habari zingine za watu kuongiza pesa mkawa mnazirusha humu kuliko haya ya kampuni hiyo kila sekunde.. maana mnaboa sasa.

Kuna mengi mnaweza kuelimishana na watu nchini wakaanza kupata pesa ndefu na kuongea kama hao mnawaongelea kama vile nyie bado watumwa wa hao watu...
Imekuingia hiyo tayari mmeshapigwa za chembe
 
Kama wewe ulivyozidiwa kuhara hapa! Mbona huwezi kuuficha ulimbukeni wako wewe? Unatia kinyaa na kuwachefua wengine humu! Au hiyo hoja kwako haieleweki? Nashindwa kupata tafsiri ya uzalendo mnayoimaanisha hapo lumumba! Mnafiki wa kisiasa wewe?!
Mkuu huyo ni kati ya watu wasiyo julikana
 
Mkuu Bams kwanza asante sana kwa hii kitu especially the voice note ila naomba nikurekebishe kidogo, hiyo hesabu ya vat receivable has nothing to do na ile kishika uchumba chetu cha dola milioni 300, wamesama cash hiyo ya kulipa kwa mara moja ndio hawana, ila kidogo kidogo, watalipa.
  1. In principle, Acacia wamezikubali hoja zote za makubaliano ya serikali na Barrick.
  2. Itaundwa kampuni mpya ambayo serikali itakuwa na 16% shares na mgowanyo wa 50/50 ni kwenye economic benefits and not on profits.
  3. Watalipa hiyo dola milioni 300 ila sio upfront but in instalments kwa sababu hawana hiyo cash
  4. Lengo ya yote haya ni mchanga wa dhahabu uruhusiwe kuondoka.
My Take.
The borne of contention ni tunaibiwa kwa sababu hatujui kilichomo kwenye ule mchanga. Kama kufuatia ahadi ya kishika uchumba hiki tutaruhusu mchanga uondoke tena bila kujua kilichomo, kiukweli Tanzania tutakuwa ni nchi ya ajabu sana!.

Kwenye press conference hiyo ya 30 minutes hakuna popote wamezungumzia kutujengea uwezo kuchenjua na kwenye makubaliano hayo hakuna lolote kuhusu uchenjuaji hivyo it's official mchanga utaondoka!. Swali la kujiuliza ni tuliuzuia mchanga ule ili kupata nini?. Nilidhani tuliuzuia ili kujua kilichomo!. Na hiki kishika uchumba ni cha nini?, sio kisika uchumba ili mwali wetu aondoke bila kulipiwa mahari?.

Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Mimi kwetu ni misungwi maana ya Mayalla ni njaa
 
Imekuingia hiyo tayari mmeshapigwa za chembe

Namsikiliza King wa Tanzania sasa hivi.. anamwaga nondo hadi raha.

Mmepigwa vibao najua hamna hamu na udaku wenu.. eeeeeh

Magufuli 2020
 
Hivi hakuna habari zingine za watu kuongiza pesa mkawa mnazirusha humu kuliko haya ya kampuni hiyo kila sekunde.. maana mnaboa sasa.

Kuna mengi mnaweza kuelimishana na watu nchini wakaanza kupata pesa ndefu na kuongea kama hao mnawaongelea kama vile nyie bado watumwa wa hao watu...
Inakuuma nini?
 
Hivi hakuna habari zingine za watu kuongiza pesa mkawa mnazirusha humu kuliko haya ya kampuni hiyo kila sekunde.. maana mnaboa sasa.

Kuna mengi mnaweza kuelimishana na watu nchini wakaanza kupata pesa ndefu na kuongea kama hao mnawaongelea kama vile nyie bado watumwa wa hao watu...
post yako nimeipenda, kwasasa ukitaka upate watu wa kupiga nao kelele mchana kutwa anzisha debate juu Ya hili na story za hospitalin huko Nairobi, mengine hupati mtu
 
Hivi hakuna habari zingine za watu kuongiza pesa mkawa mnazirusha humu kuliko haya ya kampuni hiyo kila sekunde.. maana mnaboa sasa.

Kuna mengi mnaweza kuelimishana na watu nchini wakaanza kupata pesa ndefu na kuongea kama hao mnawaongelea kama vile nyie bado watumwa wa hao watu...
Makonda oyeeeee,amekarabati magari 24 Kati 56
World record breaking epic
 
Hivi hakuna habari zingine za watu kuongiza pesa mkawa mnazirusha humu kuliko haya ya kampuni hiyo kila sekunde.. maana mnaboa sasa.

Kuna mengi mnaweza kuelimishana na watu nchini wakaanza kupata pesa ndefu na kuongea kama hao mnawaongelea kama vile nyie bado watumwa wa hao watu...
Dalili za kukata tamaa ni wewe au mwingine uko mwishoni kusalimu amri si kusander huku..!

Mtu Akishindwa huwa anadai tuache yaishe..!
 
Dalili za kukata tamaa ni wewe au mwingine uko mwishoni kusalimu amri si kusander huku..!

Mtu Akishindwa huwa anadai tuache yaishe..!

Eeeeeeeh
Umeajiona umeandikaaaaa mnaboa humu mnavunja uhondo wa JF kiaina.
 
Namsikiliza King wa Tanzania sasa hivi.. anamwaga nondo hadi raha.

Mmepigwa vibao najua hamna hamu na udaku wenu.. eeeeeh

Magufuli 2020
Labda kama kwenu kuna mchumba aje kuchumbia! Muwe mnajitathimini basi kwa kila hatua? Najua na nina uhakika kuwa hata akisimama na jiwe katika uchaguzi leo hii na saa hii uusomapo uzi huu jiwe litashinda kwa kura nyingi sana. Eti 2020! Nani amsukumize tena ambaye hajaishiwa miayo?
 
Labda kama kwenu kuna mchumba aje kuchumbia! Muwe mnajitathimini basi kwa kila hatua? Najua na nina uhakika kuwa hata akisimama na jiwe katika uchaguzi leo hii na saa hii uusomapo uzi huu jiwe litashinda kwa kura nyingi sana. Eti 2020! Nani amsukumize tena ambaye hajaishiwa miayo?

Ha ha haaaaaa
Unatamani uwe yeye
Jipige vibao vya usoni ulie kwa kujiongezea maumivu unayoyapata kwa kusaga meno.. na bado ulizoea ya dezo jifunze kusaka kivyako.. mvivj wewe usiye hata na fikra za kujiongeza bila kuiba.
 
Back
Top Bottom