From Day 01 Acacia walishasema kwao not economically viable kufanya uchenjuaji nchini! By the time, tulikuwa tunasafirisha wastani wa tani 50K za mchanga!!!
Kwa shehen kama hiyo, economical investment ilikuwa USD 500M !! Tulipoleta hii hoja hapa tukaambiwa vibaraka wa Acacia na kwamba tumelipwa kuja kuwatetea!
Tulipotoa changamoto ya ni kwanini basi serikali isiyo ya vibaraka isijenge hizo smelters; hakuna aliyewahi kutoa jibu la maana zaidi ya wale wanaoingia Google na ku-Google Copper Concentrates Smelters bila kufahamu not all copper concentrates smelters are the same!!!
Ukifanya Google ya bila kujua unatafuta nini hasa, ndani yake utakutana na smelters za hadi USD 25K na ndizo hizi ambazo watu wanaamini unaweza kuzitumia pale Buzwagi na Bulyanhulu wakati it's not!!!
Mkuu
Pascal Mayalla, kuna thread yako ya majuzi bado sijapata muda wa kuitafakari lakini ulitaja kuhusu smelters moja somewhere in US! Unaweza kunipa link au enough info kuhusu hiyo smelter niangalie kama ndiyo hasa tunayohitaji?! Manake kama ni yenyewe basi itafaa sana kwa sababu mgodi mmoja wapo unaozalisha makinikia unafungwa soon na kwahiyo capacity itafaa!!!
However, it's not all about capacity but economic viability of a given smelter!!!