Travelogue_tz
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 848
- 1,212
Taarifa ya Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Rais wa TLS imeeleza kwamba kampuni kubwa ya Uchimbaji Madini, Acacia imetoa notisi ya kuishitaki Tanzania kwa lengo la kudai fidia ya hasara iliyotokana na zuio la Makanikia, kiasi cha takribani Trilioni 5 za kitanzania.
Acacia ni kampuni inayomilikiwa kwa zaidi ya asilimia 65 na kampuni ya Barrick Gold Cooperation na hivyo kuwa mwanahisa mwenye nguvu kubwa zaidi ya kimaamuzi katika uendeshaji wa kampuni.
Pia Barrick ndio wahusika katika majadiliano yanayoendelea, nadhani ni Kutokana na hoja kwamba yeye ndio anabeba dhamana kubwa zaidi ya uendeshaji wa Acacia.
Kwa dhana hiyo ya kimaamuzi ni wazi kabisa hatua yeyote inayochukukiwa na Acacia bila shaka imepata baraka za Barrick, ambapo notisi hii ya kuanza kudai fidia imetolewa katikati ya ukimya mkubwa uliotawala katika majadiliano Kuhusu Makinikia.
Je hii Inaweza kuwa ndio ishara ya kuvunjika kwa majadiliano??.
Acacia ni kampuni inayomilikiwa kwa zaidi ya asilimia 65 na kampuni ya Barrick Gold Cooperation na hivyo kuwa mwanahisa mwenye nguvu kubwa zaidi ya kimaamuzi katika uendeshaji wa kampuni.
Pia Barrick ndio wahusika katika majadiliano yanayoendelea, nadhani ni Kutokana na hoja kwamba yeye ndio anabeba dhamana kubwa zaidi ya uendeshaji wa Acacia.
Kwa dhana hiyo ya kimaamuzi ni wazi kabisa hatua yeyote inayochukukiwa na Acacia bila shaka imepata baraka za Barrick, ambapo notisi hii ya kuanza kudai fidia imetolewa katikati ya ukimya mkubwa uliotawala katika majadiliano Kuhusu Makinikia.
Je hii Inaweza kuwa ndio ishara ya kuvunjika kwa majadiliano??.