ACACIA kutoa notisi ya kuishitaki Tanzania na hatma ya majadiliano

Hujajibu kwa vipi.

Mtu anaweza kuwakilisha maslahi ya upande wa Tanzania, akaisema serikali inavyoharibu, halafu mtu asiyejua kunyambulisha hoja, kwa kuwa hajui kunyambulisha hoja, akaona mambo kwa juu juu na kuhitimisha tu kwamba, kwa kuwa huu mtanange ukokati ya serikali na Acacia, na huyu Tundu Lissu anaisema vibaya serikali, basi huyu lazima atakuwa anawakilisha maslahi ya Acacia.

That is a non sequitur fallacy.

Ni kama umesema kwamba "Kwa kuwa wanaume hawana uwezowa kubeba mimba, na Doris hana uwezo wa kubeba mimba, basi Doris ni mwanamme".

It doesn't follow.

Umejihakikishiaje kwamba Tundu Lissu anawakilisha maslahi ya Acacia na si kwamba anawakilisha maslahi ya Tanzania kwa kuikosoa serikali ambayo haiwakilishi maslahi ya Tanzania vizuri?

Tundu Lissu alionya kuhusu hii mikataba ya serikali tangu enzi za Mkapa, akisema itatugharimu, kitu ambacho kimekubalika na serikali leo.

Kwa nini unasema anawakilisha maslahi ya Acacia?

Tundu Lissu haisemi vibaya. Anaikosoa serikali.
 
Wachawi na wapiga ramli mwaka huu wana kazi kubwa kweli.

Tatizo la mwanasheria wa Chadema anafikiri nchi haina wanasheria, kasoma yeye peke yake, anadharau mpaka walimu wake,
Hao walio tufikisha hapo si ni wanasheria wa serikali wakiwemo wabunge wa CCM??
 
Back
Top Bottom