PreGE2025 Abuubakari Ally (Boka) amejitokeza kuomba ridhaa jimbo la Kigamboni

PreGE2025 Abuubakari Ally (Boka) amejitokeza kuomba ridhaa jimbo la Kigamboni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Jimbo la Kigamboni lililokuwa likishikiliwa na hayati, Dkt. Faustine Ndugulile limeanza kuwaniwa na watia nia wa Chama Cha Mapinduzi ambapo leo hii Juni 28, 2025 Mjumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Dar es salaam kwa chama hicho, Abuubakari Ally (Boka) amejitokeza kuomba ridhaa hiyo.

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Boka ambaye licha ya kujihusisha na shughuli za siasa pia ni mdau wa masuala ya afya na michezo amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM wilaya ya Kigamboni, Stanley Mkandawile.
1751131537886.png


Chanzo: Azam TV
 
Kaleta udhia rupia itapenyezwa.. Wajumbe wataneemeka sana ila kama ndio walewale atajitwalia mapemaaa
 
Back
Top Bottom