Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
It's Rama again..!!??
unakumbuka ya ulimboka? Alipigwa usoni, alinyofolewa meno, kucha na kutupwa. Pia walitaka kumshoot ila brain yake ikakata mawasiliano kutokana na maumivu wakadhani amekufa. Huyu naye risasi zimegoma! Mungu tu ndo muokoaji. Ramadhani abeid ighondu ni mhalifu anayefahamika, kutokana na hilo wameamua kumtumia kukamilisha uhalifu wao ili na ye aendelee kuwepo. Na tume ni ya kina msangi(mzee wa shushashusha