Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 637
Aboud bus laungua moto mchana huu pale ubungo bus terminal lilikuwa linatayarishwa kwa safari ya kesho ya DAR-TUNDUMA.
Hakuna mtu aliyejeruhiwa.
Hakuna mtu aliyejeruhiwa.
eeeeeeeeh chanzo ni nn?
Natumaini hii hausiana na "Insurance Claim" - Gari inamaliza kufanyiwa "Service" halafu inawaka moto - just like that!
Bongo - kuliko uijuavyo!
Natumaini hii hausiana na "Insurance Claim" - Gari inamaliza kufanyiwa "Service" halafu inawaka moto - just like that!
Bongo - kuliko uijuavyo!
OMGLets End it here!!
Ningekua karibu ningekuongeza glass nyingine ya Juice.
we dorin upo? huyo anakwenda kwa mwendo wa nanihiii bardiiiii! ipo?Lets End it here!!
Ningekua karibu ningekuongeza glass nyingine ya Juice.
hahahhaa! sio, wanatumia yaya za spika zile nyembamba za kichinaMbeya huwa yanaenda yale mabasi ya mwaka 1988, mabox body .
Yamechoka sana na yanakila sababu za kuwaka moto.
Wiring zake ni za waya za nyumba.
eeeeeeeeh chanzo ni nn?