Abiria wa mabasi ya mikoani hasa Dar - Iringa - Mbeya wanakula chakula kibovu. Mamlaka ziingilie kati

Kuna mdau katika ule uzi wa Bei za Vyakula Alishauri:

1, tujitahidi sisi wasafiri kutopenda kulakula sana. Mfano mtu unatoka Dar to Iringa, masaa 8 kuna ulazima gani kula hayo Masaa kama wewe ni mzima wa afya?

2, panapokua na uhitaji kama una mtoto, mgonjwa, unanyonyesha, au una njaa, basi either beba msosi ulipotoka au kula zile fast foods kama juice, maji, biskuit.
Mkuu kwenye safari kuna mambo mengi sana, kwanza mfumo wa digestion hubadilika maana pale hukai stationary Bali una move, na sio climate Moja Bali unaita Hali tofauti tofauti za hewa,

Cha pili Ile ni safari, huwezi jua litatokea nini hapo mbele, kuna kuharibika Gari, njia kufunga n. K, anyway sijui zaid kama we ni msafiri wa kila siku, maana ungekua hivo usingeandika ulichoandika, Kiufupi ruti ikishazid km 400 suala la kula haliepukiki
 
Umesema kweli mkuu, hizo hotel zao huwa sigusi kitu ni chafu mno.
Ongezea Arusha to Dodoma
Arusha to Singida
Dodoma to Mwanza.
Barabara yenye msosi bora ni Dar -Arusha
Tena vyakula Fresh. Ila pale Mombo mhhuu Nina wasiwasi na nyama za pale hasa Usiku. Halafu Liverpool nao sio Waziri Siku hizi
 
Route ya Dar-Moshi-Arusha naona vyakula vipo poa kabisa, ukiingia rock Hill, Kilimanjaro Hotel nk unakuta vitu quality, kwa upande wangu lakini
... tena V8 na private cars ndio nyingi balaa kuzidi public vehicles kwenye restaurants za Korogwe tofauti na njia kama Dodoma au Iringa sijawahi ona V8 imepaki mahali eti wanakula! Huwa zinatokaga nduki, non-stop mwanzo mwisho utafikiri wanafukuzwa.
 
Tunduma nabeba juice mbili za super shake kutoka zambia then njiani mimi nakamatia ndizi mbili tu choma.Hapo ni tukutane ubungo.
Shida ya njiani vyakula ghali sana alafu ubora ni sifuri.
 
... tena V8 na private cars ndio nyingi balaa kuzidi public vehicles kwenye restaurants za Korogwe tofauti na njia kama Dodoma au Iringa sijawahi ona V8 imepaki mahali eti wanakula! Huwa zinatokaga nduki, non-stop mwanzo mwisho utafikiri wanafukuzwa.
👍
 
... tena Korogwe tu. Pana restaurant/hoteli za maana kama 4 hivi ziliibuka baada ya wale waarabu wa Mombo (sikumbuki panaitwaje) kuzingua na vyakula na bei za ajabu ajabu. Waliringa sana wale jamaa enzi zao.
Highway,Kilimanjaro,Rock Hill(kama sijakosea),Liverpool. hizi ndio best hotel kwa korogwe-mombo,ila bei zao zimetiwa ndimu kwa kweli.
 
Swala ni bei zipungue na mamlaka zifatilie ubora wa vyakula, mizigo yote hiyo ubebe kisa tu Kuna watu hawawajibiki?
Mamlaka za kuwajibika katika hili ni zipi!?? Na zifanye nini!? Wizara gani!??

Utakesha. Jaribu kulifanya tatizo hili lipo ndani ya uwezo wako.. La sivyo utalalama always..
 
The only route chakula kisafi ni moshi arusha. The rest nchii pwagu na pwaguzi tuuu


wana bei za vyakula ya juu sana. sahani ni kati ya 7000 na 8000.

lakn pia mabasi yanatangaza dk kumi za kula na kujisaidia, lakn abiria aliekaa siti ya nyuma hadi ateremke ni zaidi ya dk3, mbaya zaidi wana waacha njia au nyuma abira sana kisa kuwahi tusichokijua. Nadhani pia hili swawla la muda liangalie mnoo, kuna basi linaitwa happy nation ni la hovyo mno, linaacha sana abiria kwa hicho wanacho kiita kula na kuchimba dawa ni dk 10
 
wana bei za vyakula ya juu sana. sahani ni kati ya 7000 na 8000.

lakn pia mabasi yanatangaza dk kumi za kula na kujisaidia, lakn abiria aliekaa siti ya nyuma hadi ateremke ni zaidi ya dk3, mbaya zaidi wana waacha njia au nyuma abira sana kisa kuwahi tusichokijua. Nadhani pia hili swawla la muda liangalie mnoo, kuna basi linaitwa happy nation ni la hovyo mno, linaacha sana abiria kwa hicho wanacho kiita kula na kuchimba dawa ni dk 10
Poleni sana ndugu abiria .
 
Mamlaka za kuwajibika katika hili ni zipi!?? Na zifanye nini!? Wizara gani!??

Utakesha. Jaribu kulifanya tatizo hili lipo ndani ya uwezo wako.. La sivyo utalalama always..
Mimi sina shida na bei tatizo langu ni ubora wa chakula chenyewe
 
Back
Top Bottom