Jamaa anazikwa leo saa kumi jioni,huko Bugabo,bukoba mjini,George Tumaini Onesmo al-maarufu kama George Best,kaacha watoto 2 na mjane,wakazi wa Dodoma tunamfahamu sana,alikuwa ni Jirani yangu..R.I.P GEORGE BEST
Jamaa anazikwa leo saa kumi jioni,huko Bugabo,bukoba mjini,George Tumaini Onesmo al-maarufu kama George Best,kaacha watoto 2 na mjane,wakazi wa Dodoma tunamfahamu sana,alikuwa ni Jirani yangu..R.I.P GEORGE BEST