Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 417
Kumbe hata wewe ni gamba?
hahahahaaaa!!!! kageuka
Kumbe hata wewe ni gamba?
Maigizo hayo tulishayazoea. Magamba wana mamilioni ya kadi za CDM za kufanyia maigizo kwenye mikutano yao mbali mbali ili kuwaaminisha watz kwamba watu wanakihama hicho chama.Nadhani si bure magamba wamewaroga watu hawa, maana walikuwa wanakimbia kurudisha kadi za CDM kama vile zinawasumbua mikononi mwao....
Dearhoney labda walidhani ni mawe kwa hasira wakaji kuta wanawatupia kadi, kwali CCM wamechokwa nahasa yule jamaa aliye hoji kuhusu pembe za ndovu, wakazidi kutupa kadiNadhani si bure magamba wamewaroga watu hawa, maana walikuwa wanakimbia kurudisha kadi za CDM kama vile zinawasumbua mikononi mwao....
Furahisheni nyoyo zenu kwa kujidanganya.Yaliyotokea Ifakara jana jioni yamenishangaza baada ya hotuba ya Kinana kwenye mkutano wa hadhara, wananchi wengi sana walokuwa na kadi za Chadema na kidogo Cuf walikuwa wanarusha hovyo kadi hizo na kushinikiza kupewa za CCM.
Picha naleta soon
Maigizo hayo tulishayazoea. Magamba wana mamilioni ya kadi za CDM za kufanyia maigizo kwenye mikutano yao mbali mbali ili kuwaaminisha watz kwamba watu wanakihama hicho chama.
Kwani CCM haina watu wenye taaluma ya MICROSOFT PUBLISHER kuweza kutengeneza kadi zenye uelekeo wa kama za CHADEMA?!Yaliyotokea Ifakara jana jioni yamenishangaza baada ya hotuba ya Kinana kwenye mkutano wa hadhara, wananchi wengi sana walokuwa na kadi za Chadema na kidogo Cuf walikuwa wanarusha hovyo kadi hizo na kushinikiza kupewa za CCM.
Picha naleta soon
Maigizo hayo tulishayazoea. Magamba wana mamilioni ya kadi za CDM za kufanyia maigizo kwenye mikutano yao mbali mbali ili kuwaaminisha watz kwamba watu wanakihama hicho chama.
Yaliyotokea Ifakara jana jioni yamenishangaza baada ya hotuba ya Kinana kwenye mkutano wa hadhara, wananchi wengi sana walokuwa na kadi za Chadema na kidogo Cuf walikuwa wanarusha hovyo kadi hizo na kushinikiza kupewa za CCM.
Picha naleta soon
Hana haja ya picha mie nimehudhuria mkutsno kidogo niwatukane makafiri hawa, eti wanatupa kadi za chama changu hadharani,sijui wamerogwa nini na magamba...nyambafu zao
Maigizo hayo tulishayazoea. Magamba wana mamilioni ya kadi za CDM za kufanyia maigizo kwenye mikutano yao mbali mbali ili kuwaaminisha watz kwamba watu wanakihama hicho chama.
Hana haja ya picha mie nimehudhuria mkutsno kidogo niwatukane makafiri hawa, eti wanatupa kadi za chama changu hadharani,sijui wamerogwa nini na magamba...nyambafu zao