GE2025 Abdul Nondo: Zitto ana uwezo wa kupambana na Mafisadi

GE2025 Abdul Nondo: Zitto ana uwezo wa kupambana na Mafisadi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Abduli Nondo ambaye ni Meneja Kampeni wa Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma mjini, Zitto Kabwe. Amewaomba wananchi kumrejesha bungeni ili akapambane na ufisadi kulingana na historia yake katika kupambana na vitendo hivyo.

Nondo ametoa kauli hiyo wakati akimnadi mgombea huyo katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Mwanga community centre.

Nondo amewataka wananchi kufanya maamuzi sahihi na sio kumchagua mgombea ambaye atakwenda kukitumikia Chama chake na sio wananchi

Soma pia: Nondo: Kigoma hatupeleki wagonga meza (Baba Levo), Tunapeleka Wapambanaji (Zitto)

 
Abduli Nondo ambaye ni Meneja Kampeni wa Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma mjini, Zitto Kabwe. Amewaomba wananchi kumrejesha bungeni ili akapambane na ufisadi kulingana na historia yake katika kupambana na vitendo hivyo.

Nondo ametoa kauli hiyo wakati akimnadi mgombea huyo katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Mwanga community centre.

Nondo amewataka wananchi kufanya maamuzi sahihi na sio kumchagua mgombea ambaye atakwenda kukitumikia Chama chake na sio wananchi.

Soma pia: Nondo: Kigoma hatupeleki wagonga meza (Baba Levo), Tunapeleka Wapambanaji (Zitto)

 
Ngoja waibiwe kura waje kulialia humu JF
 
Inawezakenaje CCM washindwe kupambana na mafisadi alafu kibaraka wao zito kabwe ndo aje aweze?
 
Back
Top Bottom