Abdul Mwinyi kumng'oa Dr Faustine Ndugulile Kigamboni

Mbona kaka yake alikuwa mbunge Mkuranga? chao ni chao (Wazanzibar), chetu (Watanganyika) ni chetu wote (Watanganyika na Wazanzibar!)
Hawa wznz hataki muungano, hivi wanakuwaje na uchungu na eneo ambalo wao hawalipendi?

Hivi mzanzibar anajuaje matatizo ya Kigamboni asikoishi?

Hawa wanatuita sisi nchi jirani, kwanza ni lazima wapate work permit na wasishiriki shughuli za kisiasa za Tanganyika.
Wana nchi na serikali yao, haya ya Tanganyika watuachie wenyewe.
 
Kwa hili jambo, lazima tusimame na Dr Ndugulile.
Hawezi kuemnguliwa kisa nafasi hiyo apewe mtu kutoka nchi na taifa la jirani ya zanzibar.
Wznz si Watanzania, na hawataki waitwe hivyo. Leo wapi wanapata ushaujaa kuja kuongoza watu wasiowataka?

Tulkianza kuruhusu haya hii nchi itakuwa haina wenyewe.

Mambo ya muungano wanayotaka znz ni 11 kwa mujibu wa mkataba. Tena wamepunguza hadi kufikia chini ya 8.
Sasa hili la wao kuja kutuongelea matatizo yetu wanapata wapi uhalali?

Kama Mtanganyika hana haki znz, sawia mzn hana haki Tanganyika isipokuwa kwa yale machache wanayosaidiwa

Tuache Dr Ndugulile apambane na Watanganyika wenzake ndani ya TLP, CUF, CHADEMA n.k.
Tusikubali kuletewa wawakilishi mamluki.
 
Kikao cha Ndungulile anatoa elfu 5 wakati vikao vya mwinyi ni sh 50,000.
Mwinyi amejipanga sana,Zile chupa za Chai walizopewa kama zawadi zitamuondoa Mb.

Watu wanachukua hela yako na kura hawakupi.....hawajajifunza tu? Manji yuko wapi?
 
Respect bodaboda ameleta hoja moja muhimu. Hawa wznz hatambui leseni ya JMT ambayo wao wamo.
Leo tunawezaje kuwapa uwakilishi katika bunge letu ikiwa hawambui JMT.

Pili, hawa wznz wanatuita wakoloni. Lini mtwana alipata nafasi ya kumwakilishwa 'bwana' katika utunzi wa sheria za kikiloni zinazomwathiri mtwana huyo! Insane

Tatu, kwasasa tunawalipia wznz 80 pale Dodoma kuja kutalii. Bado wanataka kuongezeka ndani ya bunge la JMT ili watunge sheria za nchi wasiotaka kuwa na muungano nayo. Nchi wanayoita mkoloni, nchi wanayoiita jirani, nchi wasiotambua hata leseni ya udereva

Nasema, bila kujali itikadi ya mgombea, nitasimama na Mtanganyika katika jimbo hilo
Kwa hili Tanganyika kwanza!
 
Brother siasa ya bongo ngumu sana.Nakuonea huruma kwa kujiapiza.
Ebu chukuli;
UKAWA wakamsimamisha Salum Mwalimu wa CHADEMA na ccm wakamsimamisha huyo mtoto wa Mwinyi!
Hutapiga kura?
Respect bodaboda ameleta hoja moja muhimu. Hawa wznz hatambui leseni ya JMT ambayo wao wamo.
Leo tunawezaje kuwapa uwakilishi katika bunge letu ikiwa hawambui JMT.

Pili, hawa wznz wanatuita wakoloni. Lini mtwana alipata nafasi ya kumwakilishwa 'bwana' katika utunzi wa sheria za kikiloni zinazomwathiri mtwana huyo! Insane

Tatu, kwasasa tunawalipia wznz 80 pale Dodoma kuja kutalii. Bado wanataka kuongezeka ndani ya bunge la JMT ili watunge sheria za nchi wasiotaka kuwa na muungano nayo. Nchi wanayoita mkoloni, nchi wanayoiita jirani, nchi wasiotambua hata leseni ya udereva

Nasema, bila kujali itikadi ya mgombea, nitasimama na Mtanganyika katika jimbo hilo
Kwa hili Tanganyika kwanza!
 
Mtoto wa Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi aitwae Abdul Mwinyi ametangaza kuwania Ubunge jimbo la Kigamboni.

Mtu wake wa karibu amesema kijana ameshajiweka vizuri na chama chetu kinampigia chapuo ili kumuondoa Mbunge wa sasa.

Wiki ijayo kuna kikao cha marafiki wa mzee mwinyi ambacho ni maalumu kwaajili ya kumsaidia mtoto wao Abdul ili ashinde ubumge Kigamboni.

Huyu si ndio mbunge wa EA,wacha tu watoto wa wakubwa watutawale tena wao na baba zao wamevaa''six meno'' na wengine hatuna hata raba tupo pekupeku ,si mumesikia baba yake ataendesha kikao,na kule Kigamboni si ndio kama Pemba ya Dar?wacha bwana waendelee kubebwa na baba zao na chama chao,lakini yote hayo mbona yana mwisho,kama si leo ni kesho,wangekuwa na kumbukumbu nzuri wasingesahau kulikuwa na watoto wa Mobutu,Saddam,Gadafi bana,dunia nzima iliwajua ,lakini sasa kiko wapi.
 
nafikiri wakati umefika tuwapinge mahakamani kama wao hawaturuhusu kugombea zanzibar wana kiherehere cha nini kugombea huku tanganyika zanzibar wamejaa wengi tu wa kigamboni mwishoe watadai ni sehemu yao
 
Mbunge ni msemaji wa walio wengi ndani ya bunge,anawasemea kwa serikal waliomchagua ndan ya chombo halal kisheria!sasa inawezekn vp uwawwkilishe watu usiowajua?
 
Mbunge ni msemaji wa walio wengi ndani ya bunge,anawasemea kwa serikal waliomchagua ndan ya chombo halal kisheria!sasa inawezekn vp uwawwkilishe watu usiowajua?
Unamaanisha nini? Kwani Mrema wakati anawawakilisha kule temeke alikuwa akimjua nani?
 
Hii ya watu kutoka nchi jirani ya Zanzibar kuja kugombea ubunge Tanganyika tuikatae kabisa.

Hivi wanatufanya ss watanganyika mamburula eeh?

Watanganyika tuwakatae hawa watu hata watoke chama gani, iwe CCM, Chadema, CUF, NCCR au kingine.

Arghhhhhh !!!!!
 
Respect bodaboda ameleta hoja moja muhimu. Hawa wznz hatambui leseni ya JMT ambayo wao wamo.
Leo tunawezaje kuwapa uwakilishi katika bunge letu ikiwa hawambui JMT.

Pili, hawa wznz wanatuita wakoloni. Lini mtwana alipata nafasi ya kumwakilishwa 'bwana' katika utunzi wa sheria za kikiloni zinazomwathiri mtwana huyo! Insane

Tatu, kwasasa tunawalipia wznz 80 pale Dodoma kuja kutalii. Bado wanataka kuongezeka ndani ya bunge la JMT ili watunge sheria za nchi wasiotaka kuwa na muungano nayo. Nchi wanayoita mkoloni, nchi wanayoiita jirani, nchi wasiotambua hata leseni ya udereva

Nasema, bila kujali itikadi ya mgombea, nitasimama na Mtanganyika katika jimbo hilo
Kwa hili Tanganyika kwanza!

Pamoja sana.

Hata mimi sitampigia mbunge yeyote mzanzibari akigombea huku Tanganyika.
Na kwa hili sitaangalia Chama.

Dr Ndugulile apambane na watanganyika wenzake.

Tanganyika yetu kwanza. Ebo!
 
Huyu si ndio mbunge wa EA,wacha tu watoto wa wakubwa watutawale tena wao na baba zao wamevaa''six meno'' na wengine hatuna hata raba tupo pekupeku ,si mumesikia baba yake ataendesha kikao,na kule Kigamboni si ndio kama Pemba ya Dar?wacha bwana waendelee kubebwa na baba zao na chama chao,lakini yote hayo mbona yana mwisho,kama si leo ni kesho,wangekuwa na kumbukumbu nzuri wasingesahau kulikuwa na watoto wa Mobutu,Saddam,Gadafi bana,dunia nzima iliwajua ,lakini sasa kiko wapi.
Ni kama vile umekata tamaa ya maisha,aliekuambia ukibaguliwa na wewe ubague ni nani
 
Mtoto wa Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi aitwae Abdul Mwinyi ametangaza kuwania Ubunge jimbo la Kigamboni.

Mtu wake wa karibu amesema kijana ameshajiweka vizuri na chama chetu kinampigia chapuo ili kumuondoa Mbunge wa sasa.

Wiki ijayo kuna kikao cha marafiki wa mzee mwinyi ambacho ni maalumu kwaajili ya kumsaidia mtoto wao Abdul ili ashinde ubumge Kigamboni.

Huu UPOPO Wadanganyika tutaukomesha lini?

Wakiwa Zanzibar wanajifanya ndege, wakija Tanganyika wanajifanya wanyama!

No wonder wanajiita POPOBAWA, na Watanganyika ndio "TUNAOINGILIWA" usiku na hao ma-Popobawa!
 
Wana Ccm acheni kuangalia hela Munge wenu anawapigania hivyo mumwache kwa sababu ya hela? Mkampe mzanzibari? Eti 50.000? Aibu chukueni hela ill kura elekezeni kunako mtu wenu.
Acheni ubwege
 
Back
Top Bottom