crabat
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 4,323
- 2,210
Kwani Mzanzibari anaweza kugombea ubunge Tanganyika? Tayari hela wa walipa kodi zinawalipa mishahara na posho wabunge wa Bunge la JMT ambao wanatoka nchi ya Zanzibar (kila mmoja akiwakilisha mtaa) kwa kuja tu kukaa Dodoma na kuleta ushabiki usiokuwa na manufaa kwa watanganyika na bado wanataka wachukue majimbo yetu? Hii ni kutukaba koo. UKAWA fanya kitu hapo.
Mwinyi na watoto wake sio wazanzibari.
Kuwa rais baba ake kule zanzibar ni sawa na Ian smith kuwa waziri mkuu wa Zimbabwe.
Mpemba aliekaa bongo miaka 50 bado anahesabiwa Mzanzibar na sio Mtanganyika.
Hivyo huyo abdul ni mbongo kuliko wewe.