Abdallah Majura ajitosa ubunge

Abdallah Majura ajitosa ubunge

Mkoroshokigoli

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
14,593
Reaction score
5,582
Nimemuona hapa kupitia Channel Ten akinadi sera zake kwenye Ofisi za CCM Kinondoni.Majura anagombea ubunge kati ya aidha Jimbo la Kinondoni au la Kawe.
 
Abdala Majura na mwingine kaongeza jina moja anajiita Abdala Majura Bulembo tunaomba tuambiwe nani anatumia jina la mwenzake
 
Abdala Majura na mwingine kaongeza jina moja anajiita Abdala Majura Bulembo tunaomba tuambiwe nani anatumia jina la mwenzake

Tena hawa ni ndugu. inaonekana mkubwa anatumia cheti cha mdogo. Hi ndio Bongo
 
Tena hawa ni ndugu. inaonekana mkubwa anatumia cheti cha mdogo. Hi ndio Bongo

Sio ndugu hawa majina tu yamefanana; huyu mtia nia anitwa Abdallah Idrisa Majura wakati yule wa CCM Wazazi anaitwa Abdalla Dauda Majura Bulembo
 
Adallah Idrisa Majura, mzee wa kipusa wakati akiwa radio one kipindi cha chemsha bongo.
 
Aendelee na utangazaji asije kupata pressure na Liccm lake.
 
Abdala Majura na mwingine kaongeza jina moja anajiita Abdala Majura Bulembo tunaomba tuambiwe nani anatumia jina la mwenzake

nasikia yule wa jumuia ya wazazi jina si lake
 
Makongoro si anataka kawe pia..?

watajuana huko huko, halafu iwe ni marufuku kuja upinzani, kwani tabia yao wakishakatwa huko ndio wanajifanya kulalamika ohoooo, pesa inatumika sana!!! tujifunze toka kwa shibuda.
 
Back
Top Bottom