Aanguka akiliwahi lori la kampeni za CCM Mbeya

Aanguka akiliwahi lori la kampeni za CCM Mbeya

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,450
Reaction score
5,277
Tumesema sana kuhusu watu kubebwa katika malori kama mifugo kupelekwa katika mikutano ya hadhara ya CCM. Hii yote wanataka kujaza watu na kuonekana mikutano imejaza watu.

Kwanini kampeni mnahamasisha na kusomba watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine? Kwani lengo la mikutano ya hadhara ni Nini? Kuhutubia mifugo ambayo mnasomba kwenye malori.

 
Tumesema sana kuhusu watu kubebwa katika malori kama mifugo kupelekwa katika mikutano ya hadhara ya CCM. Hii yote wanataka kujaza watu na kuonekana mikutano imejaza watu.

Kwanini kampeni mnahamasisha na kusomba watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine? Kwani lengo la mikutano ya hadhara ni Nini? Kuhutubia mifugo ambayo mnasomba kwenye malori.

Ana bima mjuu muige uonee
 
Hivi kwenye kampeni za gharama kubwa kiasi hichi, CCM inapambana au inashindana na chama kipi?
Hivi Boxer anaweza kuingia ulingoni peke yake bila mpinzani lakini pia marefa wote wote watatu kawachagua mfwenyewe?
 
Tumesema sana kuhusu watu kubebwa katika malori kama mifugo kupelekwa katika mikutano ya hadhara ya CCM. Hii yote wanataka kujaza watu na kuonekana mikutano imejaza watu.

Kwanini kampeni mnahamasisha na kusomba watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine? Kwani lengo la mikutano ya hadhara ni Nini? Kuhutubia mifugo ambayo mnasomba kwenye malori.

Haya malori ya mkwawa tumbaku
 
Tumesema sana kuhusu watu kubebwa katika malori kama mifugo kupelekwa katika mikutano ya hadhara ya CCM. Hii yote wanataka kujaza watu na kuonekana mikutano imejaza watu.

Kwanini kampeni mnahamasisha na kusomba watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine? Kwani lengo la mikutano ya hadhara ni Nini? Kuhutubia mifugo ambayo mnasomba kwenye malori.

Huu mtego wa AI hatuuingii ng'o.

Haufanani kabisa na ule wa "ninyakueni mwenzenu nikakojoe , mkojo unaniuma mie"
 
Back
Top Bottom