MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 20,698
- 42,768
Wewe ni mtu mwenye roho mbaya.Safi Sana boda
Wewe ni mtu mwenye roho mbaya.Safi Sana boda
Aitwe Tlaatlaa anayo majibuTumesema sana kuhusu watu kubebwa katika malori kama mifugo kupelekwa katika mikutano ya hadhara ya CCM. Hii yote wanataka kujaza watu na kuonekana mikutano imejaza watu.
Kwanini kampeni mnahamasisha na kusomba watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine? Kwani lengo la mikutano ya hadhara ni Nini? Kuhutubia mifugo ambayo mnasomba kwenye malori.
Hahahaa.......Watawaua watoto wa maskiniTumesema sana kuhusu watu kubebwa katika malori kama mifugo kupelekwa katika mikutano ya hadhara ya CCM. Hii yote wanataka kujaza watu na kuonekana mikutano imejaza watu.
Kwanini kampeni mnahamasisha na kusomba watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine? Kwani lengo la mikutano ya hadhara ni Nini? Kuhutubia mifugo ambayo mnasomba kwenye malori.
Alikuwa anapambania Utetezi wa NchiPole kwake mzalendo
Hii mijitu mijinga sana, Abdul anatembea na gari ya bilion 2 unusu, wao wanapandishwa kwenye malori kama mifugo!!!😅😅😅Tumesema sana kuhusu watu kubebwa katika malori kama mifugo kupelekwa katika mikutano ya hadhara ya CCM. Hii yote wanataka kujaza watu na kuonekana mikutano imejaza watu.
Kwanini kampeni mnahamasisha na kusomba watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine? Kwani lengo la mikutano ya hadhara ni Nini? Kuhutubia mifugo ambayo mnasomba kwenye malori.