Philipo Kidwanga JF-Expert Member Joined Jul 12, 2012 Posts 2,042 Reaction score 603 Oct 22, 2012 #2 sasa analeta ubishoo hata kwenye ibada mbona kifua wazi?
BinMgen JF-Expert Member Joined Jun 18, 2008 Posts 1,867 Reaction score 303 Oct 22, 2012 #3 philipo kidwanga said: sasa analeta ubishoo hata kwenye ibada mbona kifua wazi? Click to expand... No! Sio ubishoo kwa mwanamme waweza kufanya ibada hata kifua wazi, uislam unahesabu uchi wa mwanamme ni kuanzia kitovu hadi magotini. Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
philipo kidwanga said: sasa analeta ubishoo hata kwenye ibada mbona kifua wazi? Click to expand... No! Sio ubishoo kwa mwanamme waweza kufanya ibada hata kifua wazi, uislam unahesabu uchi wa mwanamme ni kuanzia kitovu hadi magotini. Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 23,265 Reaction score 17,135 Oct 22, 2012 #5 Hivi kwenye ibada wanawake wanachanganyika na wanaume kweli?
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Joined Jul 12, 2012 Posts 2,042 Reaction score 603 Oct 22, 2012 #6 sasa analeta ubishoo hata kwenye ibada mbona kifua wazi?
BinMgen JF-Expert Member Joined Jun 18, 2008 Posts 1,867 Reaction score 303 Oct 22, 2012 #7 Safari_ni_Safari said: Hivi kwenye ibada wanawake wanachanganyika na wanaume kweli? Click to expand... Ndio kwenye hijja wachanganyika tu!. Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Safari_ni_Safari said: Hivi kwenye ibada wanawake wanachanganyika na wanaume kweli? Click to expand... Ndio kwenye hijja wachanganyika tu!. Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,830 Reaction score 12,292 Oct 22, 2012 #8 Kama angekuwa mwanamke, anheuwawa kwa mawe.
BinMgen JF-Expert Member Joined Jun 18, 2008 Posts 1,867 Reaction score 303 Oct 22, 2012 #9 KakaJambazi said: Kama angekuwa mwanamke, anheuwawa kwa mawe. Click to expand... Auwawe kafanya nini? Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
KakaJambazi said: Kama angekuwa mwanamke, anheuwawa kwa mawe. Click to expand... Auwawe kafanya nini? Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,830 Reaction score 12,292 Oct 22, 2012 #10 BinMgen said: Auwawe kafanya nini? Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2 Click to expand... Akihiji kifua wazi. Kuua kwao ni kama kuua mbu.
BinMgen said: Auwawe kafanya nini? Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2 Click to expand... Akihiji kifua wazi. Kuua kwao ni kama kuua mbu.
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Joined Jul 12, 2012 Posts 2,042 Reaction score 603 Oct 22, 2012 #11 BinMgen said: No! Sio ubishoo kwa mwanamme waweza kufanya ibada hata kifua wazi, uislam unahesabu uchi wa mwanamme ni kuanzia kitovu hadi magotini. Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2 Click to expand... nashukuru kwa jibu maana nilikuwa sijui hiyo,ila mimi milihisi kama yeye amefanya kama tabia ya wasanii ilivyo.
BinMgen said: No! Sio ubishoo kwa mwanamme waweza kufanya ibada hata kifua wazi, uislam unahesabu uchi wa mwanamme ni kuanzia kitovu hadi magotini. Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2 Click to expand... nashukuru kwa jibu maana nilikuwa sijui hiyo,ila mimi milihisi kama yeye amefanya kama tabia ya wasanii ilivyo.
BinMgen JF-Expert Member Joined Jun 18, 2008 Posts 1,867 Reaction score 303 Oct 22, 2012 #12 KakaJambazi said: Akihiji kifua wazi. Kuua kwao ni kama kuua mbu. Click to expand... No! Yapo makosa mhalifu akiyatenda lazima auwawe kama kweli mnayo nia ya kuinusuru jamii yenu. Waangalie wa china walivyofanikiwa ktk maswala ya kuzuwia rushwa na madawa ya kulevya. Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
KakaJambazi said: Akihiji kifua wazi. Kuua kwao ni kama kuua mbu. Click to expand... No! Yapo makosa mhalifu akiyatenda lazima auwawe kama kweli mnayo nia ya kuinusuru jamii yenu. Waangalie wa china walivyofanikiwa ktk maswala ya kuzuwia rushwa na madawa ya kulevya. Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
B Bulesi Platinum Member Joined May 14, 2008 Posts 14,741 Reaction score 14,922 Oct 22, 2012 #13 Kwani huyu jamaa ndio nani?