Familia ambayo haina mkuu wa familia ni shida. Utakuta mabinti wa familia ile wanazalishwa na wahuni na kuachwa solemba, vijana wa kiume wanakua wapagazi na machawa na wengine wanaingia kwenye ushoga baada ya kununuliwa pipi na soda. mama yao analiwaliwa na walevi wa pombe za ovyo.
Hiyo ndio Turkmenistan ya sasa.