Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Mhandisi Nsiande tunaomba mchango wako tafadhali!
Matungusha,wanawake baba yao mmoja mama yao mmoja,mwanamke akishapenda bana hata umpe tahadhari vipi hatakusikiliza,unajua kwa nini? Ni kwa sababu ya kila mwanamke kuamini kuwa anaweza kumbadili tabia mwanaume.No wonder wanaume kibao unakuta amezaa na kuwatosa wanawake kibao na si kwamba madem wanakuwa hawapewi tahadhari kwamba fulani ni kiwembe kazi kuoa/kujenga mahusiano na kuacha la hasha tahadhari wanapewa sana lakini ndo ile mentality ya 'ah hapa kwangu Kigoma mwisho wa reli,amefika' baada ya siku mbili mikono kichwani.I can assure you huyu jamaa so long as ni handsome,soft spoken na anaingia chumvini kwa sana ataendelea kuwalamba tu hadi tusikie kaanza dozi.Tatzo lenu nyie wadada m2 akishakua HB mnadata you don't even take time to find the background the man....
Matungusha,wanawake baba yao mmoja mama yao mmoja,mwanamke akishapenda bana hata umpe tahadhari vipi hatakusikiliza,unajua kwa nini? Ni kwa sababu ya kila mwanamke kuamini kuwa anaweza kumbadili tabia mwanaume.No wonder wanaume kibao unakuta amezaa na kuwatosa wanawake kibao na si kwamba madem wanakuwa hawapewi tahadhari kwamba fulani ni kiwembe kazi kuoa/kujenga mahusiano na kuacha la hasha tahadhari wanapewa sana lakini ndo ile mentality ya 'ah hapa kwangu Kigoma mwisho wa reli,amefika' baada ya siku mbili mikono kichwani.I can assure you huyu jamaa so long as ni handsome,soft spoken na anaingia chumvini kwa sana ataendelea kuwalamba tu hadi tusikie kaanza dozi.
Asante Firstlady1, nimeshawapitishia habari mashost wengine wa mjini..huyu kaka aaibike siku moja!
Ni kweli Eng.Smasher mkigombana atahakikisha na pete yake umerudisha na ugomvi wake mkubwa lazima umkamate na kadate kengine ,kwa hasira hata pete utamtupia ,ama atakuomba nirudishie na ka pete kangu:wink2:
Mwana bishanga sio wote wanawake wana mentality hiyo, ila yes wapo wanaojitosa kwa mtu hata kama wanajua ni kiwembe cha hali ya juu nimeona na nimeshuhudia, ila pia wapo wanawake wanaofanikiwa kumbadilisha mwanaume kiwembe akawa mtu mwema
BJ,fisadi wa ngono hata siku moja haaibiki,na tatizo kubwa katika jamii yetu ukware tunautukuza ndo maana mtu anaona sifa kuitwa kiwembe/mpigaji/dume la mbegu etc,ni mbaya lakini ndo hivo.Asante Firstlady1, nimeshawapitishia habari mashost wengine wa mjini..huyu kaka aaibike siku moja!
ina maana mnatajiana huyu mtu kwenye PM,na ina maana sisi wengine ambao sio wa mujini have no right to know him
BJ,fisadi wa ngono hata siku moja haaibiki,na tatizo kubwa katika jamii yetu ukware tunautukuza ndo maana mtu anaona sifa kuitwa kiwembe/mpigaji/dume la mbegu etc,ni mbaya lakini ndo hivo.
pole sana dada inaelekea alikutema kipindi kigumu sana
Asante Firstlady1, nimeshawapitishia habari mashost wengine wa mjini..huyu kaka aaibike siku moja!
Maelezo ya tabia hii sidhani kama ni rahisi kihivyo.The point is huyu bwana wakati anaanza kutongoza dem mpya chances are anakuwa genuinily interested in her na ndio maana anamfukuzia kwa ari ,kasi na bidii ya kutosha.Halafu Belinda ujue kwa wanaume wengi kufukuzia mwanamke pia huwa ina raha yake ,mwingine akipata anaridhika na kutulia mwingine baada ya muda anakuwa bored anaamua kutafuta mawindo mapya na mwisho inakuwa ni circle ambayo FL kaieleza kwenye thread yake. Kubwa la kuelewa hapa ni kwamba wanaume wengi huwa tunashindwa kutofautisha tamaa(lust) na mapenzi(love),lust ni transient(ya mpito) na mapenzi ni permanent( yakudumu).Busara ya kutofautisha haya mawili kwa wanawake huwa ni rahisi mno na ndo maana mara nyingi hamlali na mwanamme mpaka mumpende kwanza, kwa wanaume ni mtihani mkubwa sana na wako wanaume wengi tu hadi anaingia kaburini anakuwa haja realize tofauti ya love na lust.Belinda wakati mwingine kinamama muwe mnatusamehe bure tu badala kutamani mtumwagie maji kwenye $@#...mbu zetu kama alivyotishia dada mmoja hapo juu!Hapo ndiyo nakerekaga akifanya mwanamke majina kibao ila wanaume most of the time inakuwaga kama sifa fulani..sipatagi jibu kwenye hili!! Hata hivyo Bishanga, huyu jamaa anaelekea kutumia tu mabinti au usikute roho yake inasuuzika kwa mchezo anaoufanya pia anaweza kuwa na gonjwa anasambaza!!
FL1 analama gani tumnote jamani tuwaalert mabinti zetu.
Hivi kumbe kuna wanaume wana mambo ya kitoto. eti engagement ring my foot.
chinekeeeee....ndo tumekwisha sasa....na siku hizi tunavyopenda ndoa.....mbona tutajibeba......hebu akae huko huko asije kuingia hapa JF....
FL1 analama gani tumnote jamani tuwaalert mabinti zetu.
Hivi kumbe kuna wanaume wana mambo ya kitoto. eti engagement ring my foot.