Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,837
Sasa naamini kabisa kwamba hii nchi ni mpango wa Mungu na kwamba itabakia kuwa hivyo, Mungu kaichagua hii nchi, kwa kweli TanZania tuna bahati ya pekee ambayo nchi nyingi za Kiafrika hazina, kila tunapopatwa na majaribu basi Mungu huingilia kati na kutupigania kabla ya kuangamia kama wengine na sasa hivi haijakuwa tofauti, Mungu ameingilia na kutupigania kutuepusha na fisadi Lowasa na Genge lake waliokuwa tayari wameanza kuwarubuni watu wetu kwamba wao ni wana mabadiliko sasa Mungu amemtumia Dr.Slaa kutuonyesha kwamba hawa ni watu wabaya na tunastahili kuchoma Moto!
Kweli Hii nchi haitaangamia Kamwe, Mungu anatupenda!
Kweli Hii nchi haitaangamia Kamwe, Mungu anatupenda!