PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,211
- 4,169
Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Pamoja Nanyi. Katika history ya nchi hii Ndugu Rais wa Jamhuri ya Tanzania Ndugu John Pombe Magufuli, Ndugu Naibu wa Rais Mama Samia S Hassani Pamoja na Ndugu Waziri Mkuu Majaliwa K Majaliwa.
Hakika History ya Nchi hii itawataja kwa Ushujaa wenu na kujitoa hata kufa kwa Ajili ya Nchi yenu.
Nimejaribu kufuatilia ziara zenu na Hotuba zenu hasa katika kipindi hiki kigumu cha Covid Hakika nimegundua nyinyi Mnastahili kuigwa Mfano kwa Kutuonyesha Njia na Kutuondolea Hofu Watanzania juu ya janga hili la corona.
Hakika Mmekua wahubiri wazuri kwenye kujaa Imani na Kutuonyesha Njia ya Kumtegemea Mungu katika kila hali.
Japo kuna baadhi ya Watu ambao Mungu Aliwapa Neema ya Kuwahubiria viumbe wake na kuwa Ambia habari za Matendo makuu ya Mungu lakini corona imeondoa Ujasiri wao kwa Mungu nakuona corona ni hatari zaidi na Mungu wanae muhubiri Anaweza mambo mengine ila Corona Hawezi.
Hapa tumepata funzo kubwa kwamba majaribu na Bonde la Uvuli wa Mahuti linapokuzonga ndipo Imani yako kwa Mungu inapojionyesha kwamba uko kwa Mungu Asilimia 100 au ndio mguu 1 Ndani na 1 Nje.
Inanikumbusha wakati wanafunzi walipokua na Yesu kwenye Boti na Mawimbi yakaanza kukipiga chombo ndipo Imani yao ilipothibitika kwamba Pamoja kwamba wako na Yesu lakini hawakumwamini kwamba Anaweza kuwasaidia wasifie baharini, Yesu Mwenyewe Alipo Amka wanafunzi wake walidhani Atafadhaika kama wao lakini Yesu Aliwakemea juu ya Upungufu wa Imani yao kwake.
Jana Ndugu Rais Aliongea Neno Ambalo lilinitafakarisha sana kama Kiongozi.
Kwamba Mimi mnaoniona sija vaa Barakoa, na nipo na wasaidizi Wangu Ambao kila siku urudi makwao na Kukutana nafamilia zao na familia zao ufanya matembezi na kukutana na makundi ya watu mbona siogopi?
Akaongezea sio kwamba Mimi siogopi kufa lakini ni lazima tujue Mungu Akitaka Uondoke Hata Malaria,Ajali,kansa,sukari vinaweza kuutoa uhai wako, zaidi tumtegemee Mungu kwa kila hali.
Watu wengi hawakumwelewa Rais ila Rais Alionyesha Spirit ya Kuwa kiongozi.
Kiongozi wa kweli Yupo tayari kuhatarisha Maisha Yake kwa Ajili ya Anaowaongoza. Watu kama hawa dunia ya sasa ni wachache Mno.
Nimalizie kwa kusema Hakuna Mwenye Nguvu kuliko Mwenyezi Mungu. Alituwezesha tukaishi na corona Mwaka mzima lakini kuna Maali Watanzania tumeanguka.
Maovu yamekua mengi. Dhambi imefungua Mlango wa haya tunayo yaona na kuyasikia.
Usijidanganye kwamba Barakoa au kupiga nyungu na kuchukua tahadhari ndio utaokoka na corona.
Kumbuka Dhambi ndio mbaya kuliko hata corona.
Kama Watanzania tutaacha maovu na kumtafuta USO wa Mungu kwa siku hizi 3 Mungu Ataturehemu na Kutuondolea Mabaya haya.
Ndugu Rais. Na Naibu wake pamoja na Waziri MKUU Tunajivunia na Ninyi ndio Kielelezo kwa Taifa hili. Msirudi nyuma Tupo nyuma yenu.
Hakika History ya Nchi hii itawataja kwa Ushujaa wenu na kujitoa hata kufa kwa Ajili ya Nchi yenu.
Nimejaribu kufuatilia ziara zenu na Hotuba zenu hasa katika kipindi hiki kigumu cha Covid Hakika nimegundua nyinyi Mnastahili kuigwa Mfano kwa Kutuonyesha Njia na Kutuondolea Hofu Watanzania juu ya janga hili la corona.
Hakika Mmekua wahubiri wazuri kwenye kujaa Imani na Kutuonyesha Njia ya Kumtegemea Mungu katika kila hali.
Japo kuna baadhi ya Watu ambao Mungu Aliwapa Neema ya Kuwahubiria viumbe wake na kuwa Ambia habari za Matendo makuu ya Mungu lakini corona imeondoa Ujasiri wao kwa Mungu nakuona corona ni hatari zaidi na Mungu wanae muhubiri Anaweza mambo mengine ila Corona Hawezi.
Hapa tumepata funzo kubwa kwamba majaribu na Bonde la Uvuli wa Mahuti linapokuzonga ndipo Imani yako kwa Mungu inapojionyesha kwamba uko kwa Mungu Asilimia 100 au ndio mguu 1 Ndani na 1 Nje.
Inanikumbusha wakati wanafunzi walipokua na Yesu kwenye Boti na Mawimbi yakaanza kukipiga chombo ndipo Imani yao ilipothibitika kwamba Pamoja kwamba wako na Yesu lakini hawakumwamini kwamba Anaweza kuwasaidia wasifie baharini, Yesu Mwenyewe Alipo Amka wanafunzi wake walidhani Atafadhaika kama wao lakini Yesu Aliwakemea juu ya Upungufu wa Imani yao kwake.
Jana Ndugu Rais Aliongea Neno Ambalo lilinitafakarisha sana kama Kiongozi.
Kwamba Mimi mnaoniona sija vaa Barakoa, na nipo na wasaidizi Wangu Ambao kila siku urudi makwao na Kukutana nafamilia zao na familia zao ufanya matembezi na kukutana na makundi ya watu mbona siogopi?
Akaongezea sio kwamba Mimi siogopi kufa lakini ni lazima tujue Mungu Akitaka Uondoke Hata Malaria,Ajali,kansa,sukari vinaweza kuutoa uhai wako, zaidi tumtegemee Mungu kwa kila hali.
Watu wengi hawakumwelewa Rais ila Rais Alionyesha Spirit ya Kuwa kiongozi.
Kiongozi wa kweli Yupo tayari kuhatarisha Maisha Yake kwa Ajili ya Anaowaongoza. Watu kama hawa dunia ya sasa ni wachache Mno.
Nimalizie kwa kusema Hakuna Mwenye Nguvu kuliko Mwenyezi Mungu. Alituwezesha tukaishi na corona Mwaka mzima lakini kuna Maali Watanzania tumeanguka.
Maovu yamekua mengi. Dhambi imefungua Mlango wa haya tunayo yaona na kuyasikia.
Usijidanganye kwamba Barakoa au kupiga nyungu na kuchukua tahadhari ndio utaokoka na corona.
Kumbuka Dhambi ndio mbaya kuliko hata corona.
Kama Watanzania tutaacha maovu na kumtafuta USO wa Mungu kwa siku hizi 3 Mungu Ataturehemu na Kutuondolea Mabaya haya.
Ndugu Rais. Na Naibu wake pamoja na Waziri MKUU Tunajivunia na Ninyi ndio Kielelezo kwa Taifa hili. Msirudi nyuma Tupo nyuma yenu.