A true MMU story with photos, happened in 2016

A true MMU story with photos, happened in 2016

unadhani watu wasubiri muda gani ndio kubanduana kufate???
Dunno girl, ila kubanduana siku ya kwanza nadhani ni hatari. Waweza kubanduana na serial killer nae akakubandua na kukumaliza on the spot!
 
Story tamu sana, sema utamu umeishia katikati ya safari. Sasa sijui ina episode 2
 
Dunno girl, ila kubanduana siku ya kwanza nadhani ni hatari. Waweza kubanduana na serial killer nae akakubandua na kukumaliza on the spot!
haaaà siku hizi mnakutana asubuhi jion mnaenda kubanduana kama hivyo lols....

btw nakubaliana na wewe... it is very risky
 
Lakini kubanduana first date ni very risky, ni hatari kuliko tunavyodhani.

Mnakutana online, mnapeana namba, mnachat for two-three days or a week, then mnakutana na kuvuana....

...it's too risky!!
Thanx for your experience man!!
Eli,binafsi huwa "sinaga ushemeji" na demu ambaye najua sina future naye.

huwa napenda nimalizane nae ndani ya kipindi kifupi kisicho zidi siku tatu.ikizidi sana wiki moja.

mahusiano mengine huwa yanatokea tu kwa kuzuka kutokana na matamanio ya mda mfupi.

kuji commit for a long relationship kwa mwanamke ambaye nafsi yako inajua dhahiri huna malengo naye,ni risk maradufu.
 
To be honesty hiyo couple nimeipenda... napenda kuwa na mwanaume design hiyo I feel secured nikiwa nae akikukumbatia hadi raha..
 
Story tamu sana, sema utamu umeishia katikati ya safari. Sasa sijui ina episode 2
sorry mkuu,hakutakuwa na episode two.hata hivo nimeifupisha sana,ningeamua kusimulia kila tukio,bila shaka ingekuwa ndefu zaidi halafu ingekera baadhi ya wasomaji.
 
Story nzuri ila imeishia vibaya,mkuu fanya kuongezeaongezea basi ili iwe na mwisho mzuri
 
Story nzuri ila imeishia vibaya,mkuu fanya kuongezeaongezea basi ili iwe na mwisho mzuri
Kuna mdau alinishauri nimuone lara1 ili anipe maujanja ya kunogesha story.sasa naanza kuona umuhimu wa ushauri wake.samahani sana,niliingiwa na uvivu wa ku-type.

katika moja ya vitu vinavo nishinda ktk hizi simu za smartphone ni Ku type maneno mengi.
 
Eli,binafsi huwa "sinaga ushemeji" na demu ambaye najua sina future naye.

huwa napenda nimalizane nae ndani ya kipindi kifupi kisicho zidi siku tatu.ikizidi sana wiki moja.

mahusiano mengine huwa yanatokea tu kwa kuzuka kutokana na matamanio ya mda mfupi.

kuji commit for a long relationship kwa mwanamke ambaye nafsi yako inajua dhahiri huna malengo naye,ni risk maradufu.
Kwa style yako the best option ni kununua. Coz unatoka home ukijua naenda kubandua kwa 50k yangu
 
Kwa style yako the best option ni kununua. Coz unatoka home ukijua naenda kubandua kwa 50k yangu
wadada wengine hata hawauzi ila inatokea tu unajikuta ndani ya mda mfupi wa kufahamiana kwenu,anakupa mzigo kiroho safi.
kuna kauli moja inasema "love at first sight".yaani unakutana na mtu kwa mara ya kwanza,halafu ghafla anakuwa romantically attracted kwako.
 
Kwa style yako the best option ni kununua. Coz unatoka home ukijua naenda kubandua kwa 50k yangu


Haina tofauti sana na alichofanya: Jack daniels + Amarula (kwa bei ya Nakumatt) + lodge + mafuta + food + + +
 
wadada wengine hata hawauzi ila inatokea tu unajikuta ndani ya mda mfupi wa kufahamiana kwenu,anakupa mzigo kiroho safi.
kuna kauli moja inasema "love at first sight".yaani unakutana na mtu kwa mara ya kwanza,halafu ghafla anakuwa romantically attracted kwako.

Lust at first sight bro...!
 
Back
Top Bottom