A true MMU story with photos, happened in 2016

A true MMU story with photos, happened in 2016

Yaani ww jamaa nmekazana kusoma kwa bidii halafu kastory kakaisha dizaini hyo aiseeee
 
Mlimani city,
Jack Daniels,
Amarula,
Samaki samaki,
Sinza,
Kiwanja kikali,
Agghhhh.......[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Ebu ngoja wanaume wa Dar ndio watakuelewa aiseeee

Atakua ni muhaya huyu kwa kujipa promo mwee!
 
Nimesoma hii thread nikawa nacheka maana Christmass imenikuta tukio la kuhisi nafuatiliwa.
 
umeonaee....Noma sana babu....kupasuliwa linda kwa mtu kama Mimi ambaye sijui michezo hiyo ni noma sana.bora unipige chuma nife.

Aaah mkuu Unacheza na kifo wewe, ngoja siku uonane na chuma ana kwa ana kama hutaomba walau wakutume ukanunue KY a.k.a SAE 40.
 
Aaah mkuu Unacheza na kifo wewe, ngoja siku uonane na chuma ana kwa ana kama hutaomba walau wakutume ukanunue KY a.k.a SAE 40.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nimesoma hii thread nikawa nacheka maana Christmass imenikuta tukio la kuhisi nafuatiliwa.
Nilikua na mchepuko wa siku nyingi, ila tulipopogia game ni karibu na kwao. Sasa kwenye mishale ya saa8 au 9 hivi usiku wanapita watu wakiongea dirishani
"Unamuachaje! Twende tumfuate bwana, aibu hizo anatuharibia hapahapa"
Nikavaa bukta na t-shirt chapu na kutoka nje, kusikilizia, manzi kwa kua alikua tungi sana hakujua lililo tokea. Saa10 nikarudi ndani nilivohakikisha kuna usalama, nikapiga kimoja na kuondoka mazima. Manzi nikamdanganya kuna sehemu lazima niwepo saa12, akawa mpole tu.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Atakua ni muhaya huyu kwa kujipa promo mwee!
Mahondaw hapo bado sikutaja aina ya gari niliyo na drive siku hiyo....sikutaja jina la ile loji babkubwa mitaa ile ambayo ndio nilienda kula nae "utamu" yule mrembo.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jf mikwara miiingi... kila mtu anajikuta dp cooper... wengine c.I.a... tiss dooh.. eti km kawaida kulingana na career yangu na mi nikampiga picha...

Aah aaag aaah ha poa baba nimekubali
 
Atakua ni muhaya huyu kwa kujipa promo mwee!
Ohoooo......[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Huu sasa ni uchochezi aiseeee...[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Jf mikwara miiingi... kila mtu anajikuta dp cooper... wengine c.I.a... tiss dooh.. eti km kawaida kulingana na career yangu na mi nikampiga picha...

Aah aaag aaah ha poa baba nimekubali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom