A True Love Never Ends

du!!! utadhani hadithi za shigongo!!!!

haina muendelezo???????

i real like this story!!!!!!!!!!!!!!
 
True Love exists..........it really exists!!!

I have felt it and my heart will feel it till i die..! ........ BUT......

Tnx 4 dis thread imenikumbusha mbali; i have tears in my eyes!!! Tnx
 
Thus 'THE REMARKABLE DAYS OF THEIR LIVES" The days that they can't forget cause one knew everything about their luv. What are we waiting for? Lets invest our relations in true luv.
 
True love....
Am praying for true loveeeeeeeeeeeeee!!!
 
Upendo wakati wa raha na wakati wa shida.....hiyo ndo inayotakiwa siku zote. Thanks for sharing. Be blessed.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni kweli, hadithi hii inavutia sana. Wengi wetu husahau kuwa binadamu tumeumbwa na sura mbili, furaha na majonzi.
Ila ni muhimu ukiwa na mwenzio mnafurahi kumbuka kuwa 'kinachokupa raha na uchungu hukupa pia'.
 
Thanks Mkuu, you touched my heart. Kuna ndugu mmoja alioa mke na wakabarikiwa wakawa matajiri kwa kiasi chao, lots of investments and money.

Bwana yule akawa na hawara nje ambaye alimthamini na kusahau jinsi walivyohangaika na mke wa ndoa. Kwa bahati mbaya mke wa ndoa akaugua, na ilitokana na mawazo mengi hivyo akapata strock.

Hebu shangaa jinsi ambavyo yule Bwana alikimbilia kufunga ndoa nyingine ya kiserikali na yule hawara kabla mke hajafa!!! Na akawa anaenda kumtembelea mkewe huku akiwa na mke mpya ambaea fika mkewe alimfahamu na pengine was a cause for her illiness.

Sadly, yule mke wa ndoa passed away, huku akilia kwa uchungu sana na kumuita Mungu. Haikupita miezi sita mumewe ghafla alidondoka na kufa papo hapo.

Tuepuke laana za wake wa ujana wetu, ni mbaya. Hata kama umechana naye kwa kuwa umepata chombo kipya, but mheshimu. Ndoa ni ndoana kama hutaigharamia katika kuikuza kwa heshima na upendo!
 
Thanks Mkuu, you touched my heart. Kuna ndugu mmoja alioa mke na wakabarikiwa wakawa matajiri kwa kiasi chao, lots of investments and money.

Bwana yule akawa na hawara nje ambaye alimthamini na kusahau jinsi walivyohangaika na mke wa ndoa. Kwa bahati mbaya mke wa ndoa akaugua, na ilitokana na mawazo mengi hivyo akapata strock.

Hebu shangaa jinsi ambavyo yule Bwana alikimbilia kufunga ndoa nyingine ya kiserikali na yule hawara kabla mke hajafa!!! Na akawa anaenda kumtembelea mkewe huku akiwa na mke mpya ambaea fika mkewe alimfahamu na pengine was a cause for her illiness.

Sadly, yule mke wa ndoa passed away, huku akilia kwa uchungu sana na kumuita Mungu. Haikupita miezi sita mumewe ghafla alidondoka na kufa papo hapo.

Tuepuke laana za wake wa ujana wetu, ni mbaya. Hata kama umechana naye kwa kuwa umepata chombo kipya, but mheshimu. Ndoa ni ndoana kama hutaigharamia katika kuikuza kwa heshima na upendo!

Tatizo watu huwa tunapenda sana maua mapya.
 
x paster wallah katika siku ulizonifurahisha leo ya kwanza sasa signature yangu ishapanda chati hehehhe dat's true,,,(true love never die),,,nice storry,,,
Ukhti Nilham, umepotelea wapi wewe uonekani siku hizi, vipi hali yako kiafya mara ya mwisho nakumbuka ulisema upo Hospitali.
 
nielekeze kunakotengenezwa bakhti nikatoe hili gundu!
Muelekee Muumba wako, hakukutanishe na mtu atakaye kupenda maisha na wewe kumpenda.

Tatizo kubwa ambalo vijana wengi wa kileo linawakuta, ni kushindwa kudumisha upendo dhidi yao wapendanao, wanafikiria kila kitu kinakuja tu, bila jitihada ya kuvumiliana na kuaminiana na kuthaminiana.

Wengi wanashindwa kujiepusha na vitendo vinavyopelekea wenza wao kuwatilia mashaka. Na saa nyingine wakisha zoea ile hali ya kupendwa, basi ujiona kuwa chochote atakachofanya kwa kuwa anapendwa basi akita athri upendo wa mweza wake. Na matokeo yake ni kujuta na kukosa kile alichokizoea kukipata kutoka kwa mwenza wake.

Bahri ya mapenzi ni pana sana, ni bahri yenye mawimbi mazito yanayo ambatana na dhoruba za hapa na pale, dhoruba zinazo ambatana na mapapa na manyangumi. Inataka muogeleaji stadi alie mahiri na mvumilivu. Na haswa subra na kuto kata tamaa mapema.
 
Muelekee Muumba wako, hakukutanishe na mtu atakaye kupenda maisha na wewe kumpenda.

Tatizo kubwa ambalo vijana wengi wa kileo linawakuta, ni kushindwa kudumisha upendo dhidi yao wapendanao, wanafikiria kila kitu kinakuja tu, bila jitihada ya kuvumiliana na kuaminiana na kuthaminiana.

Wengi wanashindwa kujiepusha na vitendo vinavyopelekea wenza wao kuwatilia mashaka. Na saa nyingine wakisha zoea ile hali ya kupendwa, basi ujiona kuwa chochote atakachofanya kwa kuwa anapendwa basi akita athri upendo wa mweza wake. Na matokeo yake ni kujuta na kukosa kile alichokizoea kukipata kutoka kwa mwenza wake.

Bahri ya mapenzi ni pana sana, ni bahri yenye mawimbi mazito yanayo ambatana na dhoruba za hapa na pale, dhoruba zinazo ambatana na mapapa na manyangumi. Inataka muogeleaji stadi alie mahiri na mvumilivu. Na haswa subra na kuto kata tamaa mapema.

Nashukuru kwa mawaidha murua...Allah akuzidishie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom