Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,281
- 2,520
Nyoka je?Sehemu nzuri sana hiyo tena sio kwa watoto tu ata wale wenzangu wa kufanya meditation ya weed. nadhani kelele pekee apo ni za wanyama na ndege
Nyoka je?Sehemu nzuri sana hiyo tena sio kwa watoto tu ata wale wenzangu wa kufanya meditation ya weed. nadhani kelele pekee apo ni za wanyama na ndege
Nyoka je?
Hapo chacha!Nyoka je
Nitaitafuta mkuu, na wale ni watu wa asili hasa, si ajabu wanajua ni miti gani ukipanda karibu na nyumba nyoka hawasogei karibu.Sky Eclat, kuna huwa ndugu zetu kutoka kabila la Korowai kule Papua New Guinea. Makazi yao ya kitamaduni kwenye vijiji vyao huwa ni ya juu kwa juu. Hebu tafuta documentary za BBC kwa jina Human Planet ni nyingi, kuna moja inaitwa Forest people. Wakorowai huwa wanapanda hadi na mbwa wao na vijitoto vyao huwa vinacheza cheza hadi huko juu kwenye nyumba.
Ndo wenye nyumba kama"MADUNGU "ya kule Rufiji kipindi Cha mafurikoSky Eclat, kuna hawa ndugu zetu kutoka kabila la Korowai kule Papua New Guinea. Makazi yao ya kitamaduni kwenye vijiji vyao huwa ni ya juu kwa juu. Hebu tafuta documentary za BBC kwa jina Human Planet, ni nyingi, inayowahusu wakorowai inaitwa Forest People. Wakorowai huwa wanapanda hadi na mbwa wao na wanapika na kuwasha moto huko huko juu. Alafu vijitoto vyao huwa vinacheza cheza bila uoga kabisa huko juu ya miti kwenye nyumba.
Nitatumia theory yakokuhusu nyoka mkuu nadhani nikiwaona huwa wananipa nguvu kuwa nijitume sana sabab yeye bila mikoni hushiba, nakuogopwa nitafurahi kuwaona sehemu ya uumbaji nyoka 🐍