A-Towners....hapa wapi......?

A-Towners....hapa wapi......?

Preta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
24,320
Reaction score
18,875
Bunia.......

photo (3).jpg
 

Attachments

  • photo.jpg
    photo.jpg
    25.3 KB · Views: 126
Hapo ndio penyewe sasa . Naina jengo lile refu linalojengwa la mathias manga linachungulia kwa mbaaali. We nipe kile kizawadi changu nisepe.
 
Hivi hilo ngalangala jekundu linatafuta nini barabarani...?
 
Preta acha usanii nipe kazawadi kangu. Hata kama ni pipi gololi ntachukua tu
 
Hivi hilo ngalangala jekundu linatafuta nini barabarani...?


Kuna fiat moja nalo ngalangala kweli kweli, ila nyuma limeandikwa...babaako analo? Sijakujibu wewe, najihami mapema, ila ulivyosema ngalangala ndio nimekumbuka.......
 
Hapo ni sakina baba la baba mchukua picha alikua maeneo ya supermaket pale
 
Hahahah...naona umetoa muongozo mapema...mambo vipi lakini?

Kuna fiat moja nalo ngalangala kweli kweli, ila nyuma limeandikwa...babaako analo? Sijakujibu wewe, najihami mapema, ila ulivyosema ngalangala ndio nimekumbuka.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom