Baba Kenzo
JF-Expert Member
- Sep 16, 2017
- 224
- 149
Kama yuko serious atupie pichaWape kabisa na picha ili waamini
Kama yuko serious atupie pichaWape kabisa na picha ili waamini
Aisee, huu ni ugoigoi wa kutisha!Njoo pm
Am 34 yrs
Mwajiriwa
wamesha kutooooom##a wangapi humu?Watakutooooooom##a utarudi hapa unataka mtoto tu wanaume hutaki tena
mkaka mpaka 34years yuko single???
Tena unamuokotea humu?
Huyo ni kimeo pasua kichwa
Unataka nawewe wakutooooom##e?wamesha kutooooom##a wangapi humu?
Jibu swali nunga embeUnataka nawewe wakutooooom##e?
Jibu swali "kaoge"Jibu swali nunga embe
Habari Monie , Naitwa Emmanuel miaka 32. Tunaweza kuwasiliana no yangu ni 0752353146Iam single,am looking for a single man aliyetayar kwa mahusiano serious,Kama uko below hiyo age ,pls...dont bother kunipm....naomba wew kaka ambaye hauko serious usinipm
I am 28,
Naishi Dar.
Nimeajiriwa.
Hahahaaaa!! Kubwa jinga.Be careful, i had one 34 but foolish and hopeless.
Kapicha sasa.... Ili tujiridhishe siku iz kuna men zinawaka kwel...
Hahahaaaa!! Kubwa jinga.
Na ukiona mwanaume kafika umri huo na bado hajajitafuta kimbia sana hilo ni zigo la miiba.More than that. Yaani haliwazi maendeleo nikuzuruza tuuu akipata kahela anakatafuna haraka na vi bia anaomba kwa ndugu. Nkasema huyu disable apite hiviiii
Hahaha
Shkamo mchepuko wangu...Hahaha
Yaani wewe