A rare picture of people who had sex before marriage

Accidentally, there's no hell existence , hata Kama hukumu ikiwepo basi watu tutakuwa wakwanza kumshitaki Mungu na kupinga hukumu maana msababishaji ni yeye na huwa anafanya makusud kukutana na muovu shetan, wanakutana wanapiga stori jinsi gan wamtie mwanadamu ktk vishawish na mapito ili akifeli wamkomoe kwa kumwadhibu.

Ujinga mkubwa kuamin haya mamboView attachment 2054752
umeshawasiri hapa, nlitaka nkutag yaan lol
 
Accidentally, there's no hell existence , hata Kama hukumu ikiwepo basi watu tutakuwa wakwanza kumshitaki Mungu na kupinga hukumu maana msababishaji ni yeye na huwa anafanya makusud kukutana na muovu shetan, wanakutana wanapiga stori jinsi gan wamtie mwanadamu ktk vishawish na mapito ili akifeli wamkomoe kwa kumwadhibu.

Ujinga mkubwa kuamin haya mamboView attachment 2054752
Acha kufuru kafanye toba
 
Kwaiyo hio tu ndio dhambi ambayo watu watahukumiwa kuchomwa?
Aya tuoneshe na waliochepuka wakati wapo kwenye ndoa( waliojua sex baada ya ndoa alaf wakaanza kuchepuka )
 
Back
Top Bottom