Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Jinsi Mapinduzi yanavyotokea Kenya huku sisi bado tunaimba na kucheza kama watoto!!
Katiba mpya inahitajika haraka!! Lakini tatizo sisi bado tupo nyuma kiakili mno. Watu wengi hawajui umuhimu wa Katiba mpya. Hivyo ni muhimu kuanza na elimu ya uraia. Ama sivyo tutakuja na Katiba mpya isiyobadilisha kitu chochote!!
Katiba mpya inahitajika haraka!! Lakini tatizo sisi bado tupo nyuma kiakili mno. Watu wengi hawajui umuhimu wa Katiba mpya. Hivyo ni muhimu kuanza na elimu ya uraia. Ama sivyo tutakuja na Katiba mpya isiyobadilisha kitu chochote!!
Last edited by a moderator: