A picture is worth 1,000 words

A picture is worth 1,000 words

Umsolopogaas

Member
Joined
Jul 18, 2010
Posts
40
Reaction score
11
The Reign of Terror - A Picture is worth 1,000 Words.jpg

The reign of terror:
A picture is worth 1,000 words
 
Mkwara nn mbona Nkapa kaweka mikono nyuma na Warioba kama anataka kutoka nduki?
 
Mkapa alikuwa na nywele zote kichwani aise hakuna hata upara
Ila Warioba kumbe kimbaumbau toka enzi hizo
 
attachment.php


...haaa! kumbe nkapa alikuwa karibu sana na nzee tangia enzi hizo! hata nguo zinafanana! ndiyo maana mwl. alikuwa na imani naye'
inaonyesha Warioba alikuwa anaogopa kukaa karibu na mwl.
 
“Unaleta upumbavu kwenye kazi zangu wewe? Ntakutia bakora ukamuoneshe mkeo”
 
hapo ilikuwa ni amri na kutii, Hakuna kubisha, Simama kwa adabu..... La sivyo utakiona cha mtema kuni !!!!

mwalimu Ahsante umetumia POWWER yako.
 
Mwenye suti nyeusi mimi naona anafanana na Abdulrahman Babu.. sina hakika kama ndie mwenyewe
 
Back
Top Bottom