a person with courage its majority

magwe94

New Member
Aug 17, 2016
2
0
Samaani wakuu ninaswali moja naomba kuuliza.........!!!
"kipindi cha nyuma sana kipindi kile tulikuwa tunaona kutazama na hata kusoma pia kwenye vyombo vya habari juu ya ufisadi mara huyu kakutwa na hiki mara huyu kakamatwa na hiki but wat i see nw days sioni kitu kam hiko kweny vyombovile vile vilivyokuwepo kipindi kilekile vinazungumza juu ya ufisadi je ufisadi umeisha katika nchi ile au vyombo vile vimeamua kufunika kombe?? Naomba kuwasilisha swaliiii
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom