Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Hellow wana Jamii Forum mie ni mgen tuu naomben ushirikiano wenu na mapokez mazur,,nawapendaView attachment 1209465
Ana uzuri gani huyu? Kama kwako anaonekana ni mzuri basi wewe utakuwa kituko...Jf ina vituko sana siku hizi jamani
ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaKaribu sana.
Kwa nyuma hiyo nyumba ikoje? Weka picha ili tufike bei! Halafu hicho puani ni mdudu au urembo?
Unakoelekea kuna siku utasema ziwepo jf mbili kwa ajili ya wa uswahilini na ushuani.Ana uzuri gani huyu? Kama kwako anaonekana ni mzuri basi wewe utakuwa kituko...
Ndio maana bado naamani wadada wengi wa humu, kisura bado sana. Na wengi maisha yenu ya uswahilini huko tunayajua vizuri tu.
Blue pia sio mbaya japo nyekundu ingekufaa zaidi, si unapendaga red saa zingine lakini Shadeeya ?Uchokozi huu sasa Ses. 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Dah! Mna roho ngumu sana Yanga aiseeEwaa jirani. Yaani tutawapindulia meza kibabe.
Tena na rangi yangu hii huwa zinanipendeza sana tu. Japo kikawaida huwa sizibariki sanaa 😎😎 ila ndio hivyo huwa kuna sehemu nabanwa na sina jinsi ya kuacha kuvaa hizo rangi na hapo nakuwa sina jinsi kama siku ileeee. 😜😜😜Blue pia sio mbaya japo nyekundu ingekufaa zaidi, si unapendaga red saa zingine lakini Shadeeya ?
Na ile Toyota Harrier wanaita sijui tako la nyani,,,,si red ile au utasema dam ya mzee(maroon)? Red inakupendeza bana si unaona mambo yako yote yapo huko? Sijui ulipoteaje ukashbikia rangi ya njano maana inatumika sehemu mbili tu hapa nchiniila ndio hivyo huwa kuna sehemu nabanwa na sina jinsi ya kuacha kuvaa nguo na hapo nakuwa sina jinsi kama siku ileeee. 😜
Kuliko wewe?Upo vizuri dada
Ile ni Maroon black bana sio nyekundu. Hahahaaaa. Haya bana Ses.Na ile Toyota Harrier wanaita sijui tako la nyani,,,,si red ile au utasema dam ya mzee(maroon)? Red inakupendeza bana si unaona mambo yako yote yapo huko? Sijui ulipoteaje ukashbikia rangi ya njano maana inatumika sehemu mbili tu hapa nchini
1. Chama
2. Jangwani
Maroon na nyekundu ni mtu na nduguye ujue, mbona usinunue ya njano au kijani Shadeeya? Red ndio mpango mzima, inakupendezesha na inapendeza kila mahaliIle ni Maroon bana sio nyekundu. Hahahaaaa. Haya bana Ses.
Hakuna kujiongeza hapa ,lete unachotaka kumwambia,otherwise achana nayeAhh bwana mtaalam wa feza jiongeze... kidogo.
kwanza niambie Mimi badala yake au sababu sijatuma picha
NdioKuliko wewe?
Yaani ameshaanza kuingia shimo la kwanza Kwa kutuma picha na jina halisiMuonyeshe mitaa mgeni asijeingia shimoni!
,ila yuko vizuri ngoja niongee na Broo angu kama vipi tuchukue jiko, vipi wewe ushaoa?
Ana uzuri gani huyu? Kama kwako anaonekana ni mzuri basi wewe utakuwa kituko...
Ndio maana bado naamani wadada wengi wa humu, kisura bado sana. Na wengi maisha yenu ya uswahilini huko tunayajua vizuri tu.
Hahaha mpaka leo huyo jamaa namuita indutu maana aliniambia alafu nikaongea kwa nguvu mbele ya watu nikashangaa watu wananiangalia kinoma huku jamaa anacheka hana mbavu
, mbele za watu ? Aisee uliuaaa kama nawaona wabibi Wa kinyakyusa walivyobaki midomo wazi