A New Ladies undewear shop opened recently in Zanzibar

Halafu najaribu kujiuliza kwann wameconcetrate kwenye DUKA 1 tu wakati naona kuna mengine pembeni??!!
Huyu jamaa ambaye hana kanzu ana MWENZA kweli au anamsaidia BULAZA wake??!!

Atakuwa anamtafutia shemejiye!
 
Mchungaji
Hadidu zako za rejea zinasemaje.. sijakusikia ukihubiri neno hata siku moja... ikoje hii?
 
Mh... Eng. Smasher. naona kama jamaa aliye lala chini kalowana !!!!
 

Uyo jamaa wa kulia aliyevaa kanzu kapanua miguu tayari mkono kwenye nanhii anainanhii!
 
aliyepiga magoti amenichekesha sana sio jeykey na malaria kali kweli? na kaka yao dar es salaam
 
katika pita pita nimeona hili duka jipya huku zanzibar maeneo ya darajani unaweza angalia picha.





In most arab world this kind of things are common. I have experience with these guys. They are so strict when it comes to women affaires at the same time they know how much do they suffer. They believe something they dont like.
 
hahhahhhaaaa ...Wanaweza kuvunja kioo wakidhani hiyo midol inaweza kuwatimizia haja zao....mambo mengine bana...
 
Mkuu,
Hii ni nzuri kwa kufurahisha JF, na hasa ambao hawajawahi kufika Zenj.
2012 ikifika utualike tukusindikize kujibebea binti mzenji.

Getting married to Mzenj 2012,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…