A man on your bed

Jamaa atatafuta soko la viungo vya binadamu bongo faster !!!
 
Unarejea safari kama hivi, chumbani kwako jamaa amepumzika kitandani pako na "mai waifu wako" ....hana wasi hata kidogo!.



Unachukua Jambia moja unamwambia jamaa alikalie mwenyewe,....
 
HApo hakuna cha majambia ni kung fu tu si unawaona aslili yao hao? Halafu mwizi ni mthungu bwana we, labda awe American Ninja
 
Wenzetu huwa hawana mambo ya kupigana eti kisa kafumania..ndo mana wao talaka nje nje mana maadam mamsapu ka cheat basi next ni divorce.Ila kwa sie wamatumbi ndo utaweza kuleta kamera man hapo kisa kumuumbua mkeo na mfumaniwaji na matimbwili kibao.
 
Hapa mjomba kazi itakuwepo, wengi wetu watafafungua bucha!
<input id="gwProxy" type="hidden"><!--Session data--><input onclick="jsCall();" id="jsProxy" type="hidden">
 
Sipati picha!! Yaani naona butcher ilishafunguliwa na wanasubiriwa wateja!! Huuu!!! Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kuna mawili. Jamaa anaweza kuact kwa emotions (hapa ni kutumia silaha zilizo ukutani tu) au atareact rationally (Yaani atatulia na kwenda kuwatengezea sandwich na kuwaletea wale na yeye kuja kutoa vyombo baadae, then kuwatakia usiku mwema). Kazi itabaki kwa waliokitandani maana hakuna kitakachoendelea baada ya miili kujaa adrenaline
 
wyne bridge VS j terry
sijui hata kaama mkono wake ntaushika
 
Kwani angekuwa mkeo amekukuta ingekuwaje! Angetumia majambia pia?
Ila kama ni mm nimemkuta kwangu, lazima mawili yatokee, jambia litumike na marhaba yake niitumie vile vile.
 
hizo silaha hapo juu zitamuishia, naomba roho ya marwa niifanyie kazi, vita ni vita mura
 
Nitamuamuru ashikilie ukuta na kuniachia nafasi nimpime kidogo.
 
nimeguswa mh nimpendavyo mwenzangu,nikimfuma 2 kwanza ni lazima nile sifuri yao wote hata kama cjawai, then wife atakula kichapo kingne cha mkung'uto wa kupoteza ma2main ya kuishi na talaka juu,huyu kidume nitamfunga mikono vizur after kuwapiga picha ya pamoja then ntamla tena hadi kesho yake,then anipeleke kwa wife au hawara yake kwa namna yoyote nami nikampakue kinoma ala!
 
apo haponi mtu,,,na hayo majambia ukutani ndo basi!
 
mimi nadhani wife wake huko fit kwenye mambo ya kunfu si unajua huko hakuna jinsia, huwezi kunyafa mchezo kama huo kama na wewe ni goi goi
 
Hata kama patachimbika hutakuwa umesaidia lolote. Cha kufanya ni kuwaambia waendelee na wewe uchukue ustaarabu wako mwingine.
 
Jamaa anaweza kukosa kati ya tools hzo zote atumie ipi kumuadhbu mme mwenza wake maana zpo nyingi mno kila yenyewe inamwita. Badala yake ataishia kumbabatiza jamaa kwa makofi wakati anakurupuka kukimbia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…