Xavier Africa
Senior Member
- Oct 4, 2017
- 180
- 384
siyo kama sijui tatizo ni auto correction ya hizi smart nime send kumbe ikajiaongezea maneno. usijari kiongoziHahahahahahahahhhhhhh RIP in peace
siyo kama sijui tatizo ni auto correction ya hizi smart nime send kumbe ikajiaongezea maneno. usijari kiongoziHahahahahahahahhhhhhh RIP in peace
Mkuu hao walikuwa Orchestra Safari Sound (OSS ) wana Ndekule chini ya Maalim Gurumo akiwa na Hassan Rehani Bitchuka.
Vv
Pole sana mkuu,mimi moyo huwa unaenda mbio...mniombee nikiona post za kingereza kichwa kinaniuma but anyway RIP in peace snake owner