Prince Hope
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 2,154
- 447
You are 30years old!
Jua linazama muda si mrefu!
Jua linazama muda si mrefu!
Natafuta mwanaume ambae badae aje awe mume kama Mungu atatubariki.
Awe na ajira,
Mwenye hofu na Mungu na upendo.
Mimi ni 30+ sina mtoto wala sijawahi kuolewa kwa mengine zaid please PM..
Kwa walio serious tu na kama wewe huamini mapenzi yanaweza patikana kokote basi naomba kiustaarabu ruka huu uzi si lazima kukoment negativity yako haihitajiki.
siko dar hata
Nipo siriaz,ni pm
Natafuta mwanaume ambae badae aje awe mume kama Mungu atatubariki.
Awe na ajira,
Mwenye hofu na Mungu na upendo.
Mimi ni 30+ sina mtoto wala sijawahi kuolewa kwa mengine zaid please PM..
Kwa walio serious tu na kama wewe huamini mapenzi yanaweza patikana kokote basi naomba kiustaarabu ruka huu uzi si lazima kukoment negativity yako haihitajiki.
Na wewe ni mgumu wa kuelewa,amesema 35.
wala hujankera ila nahc nkipata ntakuja kushukuru shaka ondoa