msmimi
Member
- Feb 8, 2014
- 72
- 8
Natafuta mwanaume ambae badae aje awe mume kama Mungu atatubariki.
Awe na ajira,
Mwenye hofu na Mungu na upendo.
Mimi ni 30+ sina mtoto wala sijawahi kuolewa kwa mengine zaid please PM..
Kwa walio serious tu na kama wewe huamini mapenzi yanaweza patikana kokote basi naomba kiustaarabu ruka huu uzi si lazima kukoment negativity yako haihitajiki.
Awe na ajira,
Mwenye hofu na Mungu na upendo.
Mimi ni 30+ sina mtoto wala sijawahi kuolewa kwa mengine zaid please PM..
Kwa walio serious tu na kama wewe huamini mapenzi yanaweza patikana kokote basi naomba kiustaarabu ruka huu uzi si lazima kukoment negativity yako haihitajiki.