A letter to my future lover

A letter to my future lover

Nins uhakika uko below 20.
Nasubiri ufike 27+
 
no.14 is contradicting, how comes you dont want married men or taken guys whilst you are willing to have open relationship.
When it gets there, I'll talk about it with my future partner. It's not with married or taken people and it's for proximity reasons. It's more like an emergency button.
 
vigezo vyote vinaeza kubadilika kwa ushawishi mkubwa, sentensi yake ya mwisho......
 
Nlikuwa kama wewe tu unachowaza sa hivi na sasa nmeshtuka kwamba mtu wa aina niliyemfikiria akilini hayupo sababu hata dada yangu tu wakuzaliwa nae hafanani kitabia na mimi


Toka katika ujinga huo kabla ujachelewa
sijui kama atakuelewa
 
Honestly,nimegundua watu ni waoga sana. People have to question what other people will think before doing anything, na hili linarudisha sana watu nyuma. Na sio kwenye mapenzi tu, hata maisha in general.
.
.
By the time these people realise that it was important to make their life a priority and be selfish at times, it's too late.
.
So I don't give a fig about negative criticism.
Kwa wale wote waliopoteza muda wao settling for less and they now regret about it, all those who are trying to project their relationship failures on me, all those who are trying to compare themselves to me, napenda kuwapa pole sana, na kuwashauri pengine its not too late.
.
Sending y'all my love and light.
 
Back
Top Bottom