A letter to my future lover

Hata Mimi niliwaza Hili.. nikawa nasubiri tu litimie[emoji1787][emoji1787]
 
Unataka niuwashe Moto eeeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza tulishaambiwa hii I'd yetu eti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi yaweza kuwa yako eeh??[emoji23][emoji23][emoji23]
Mmhh nani kasema??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ni yako tu maana wewe ndiye mwenye miaka 23 mimi na miaka yangu 42 wapi na wapi??
 
Na[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmhh nani kasema??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ni yako tu maana wewe ndiye mwenye miaka 23 mimi na miaka yangu 42 wapi na wapi??
Naona ameanza kunibambikizia I'd kisa Nina 23[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Amepaniki tu naye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Precisely my thoughts! Baharia kinda started on a wrong foot. Hahaha!

I am so unlucky, after reading the whole thing, I saw this dudes comment first, I was like, this is how people fail exams right ? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, How could he ? If my memory serves me right, the THICK LADY, does not like/will not like the "CHART" thing as she acquainted earlier.

BAHARIA The exchange of text or voice messages in real time, notably by internet is CHAT while CHART is a map. 🤣🤣🤣🤣
 
Precisely my thoughts! Baharia kinda started on a wrong foot. Hahaha!

If it was that serious, Baharia kashindwa hata kugoogle 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, THIS IS A JOKE, si ndio mwongozaji ? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]anipe hilo povu mi nikafulie tu
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]anipe hilo povu mi nikafulie tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12]
Akija hapa atatoa povu tutafulia Hadi litabaki
 
We malaya tulia,
Umekondeana kama dagaa wa Tanga_nyika ......... Nimekujib wewe kaone kalivo[emoji3525]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni Zaidi ya dagaa Tanganyika..nipo Kama chelewa.
Vipi unaumia?
 
Hahahaa nina sifa zote lkn kwa masharti hayo naona nitakuwa nimeolewa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni Zaidi ya dagaa Tanganyika..nipo Kama chelewa.
Vipi unaumia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hili jibu la kimataifa aise kama alitegemea utapanic nampa pole mapema kabisaaaaa hivi mbona mimi hamnifundishi majibu kama haya jamani??
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usimjibu mpumbavu kwa kadri ya upumbavu wake,usije ukafanana naye.
 
Utajifunza kadri unavyozidi kuomba hekima.
 
Wewe hutafuti mkuu....? Namaanisha mchumba kuna mchumba wangu ananikimbiza mbio amesema soon ataniacha nataka akiniacha tu nije nikutongoze PM.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usimjibu mpumbavu kwa kadri ya upumbavu wake,usije ukafanana naye.
Kwa kweli aise[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…