Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Hata Mimi niliwaza Hili.. nikawa nasubiri tu litimiehaki nilijua tu lazima kuna mwanaume atakuja kusema kitu kama hiki maana ukiongelea swala la mwezini wao ndicho wanachowaza hicho nyambafu zao, sasa na mimi nimeshakuwa Zurri nataka anipe tafsiri ya hiyo sentensi katika kiswahili sanifu
Mmhh nani kasema??Unataka niuwashe Moto eeeh
Kwanza tulishaambiwa hii I'd yetu eti
Hivi yaweza kuwa yako eeh??
Hata Mimi niliwaza Hili.. nikawa nasubiri tu litimie
Naona ameanza kunibambikizia I'd kisa Nina 23Mmhh nani kasema??Hiyo ni yako tu maana wewe ndiye mwenye miaka 23 mimi na miaka yangu 42 wapi na wapi??
Precisely my thoughts! Baharia kinda started on a wrong foot. Hahaha!
Precisely my thoughts! Baharia kinda started on a wrong foot. Hahaha!
don't know why they always have to be dumb when thick 🤔. Only 23,, you will come of age, eventually!!weirdo
NaNaona ameanza kunibambikizia I'd kisa Nina 23.
Amepaniki tu naye
anipe hilo povu mi nikafulie tu
We malaya tulia,
Umekondeana kama dagaa wa Tanga_nyika ......... Nimekujib wewe kaone kalivo
Baharia katika ubora wakeOn height section I'm 172cm, you're 163cm, the difference between heights is my dick size(in inches).
you're welcome.
Ni Zaidi ya dagaa Tanganyika..nipo Kama chelewa.
Vipi unaumia?
Hili jibu la kimataifa aise kama alitegemea utapanic nampa pole mapema kabisaaaaa hivi mbona mimi hamnifundishi majibu kama haya jamani??
Utajifunza kadri unavyozidi kuomba hekima.
Hili jibu la kimataifa aise kama alitegemea utapanic nampa pole mapema kabisaaaaa hivi mbona mimi hamnifundishi majibu kama haya jamani??
Wewe hutafuti mkuu....? Namaanisha mchumba kuna mchumba wangu ananikimbiza mbio amesema soon ataniacha nataka akiniacha tu nije nikutongoze PM.Haswaa, kuna mwanaume niliwahi kumuuliza hili swali kwamba kwanini wanaume mnachagua wanawake ila hamtaki wanawake wachague wanaume akanijibu eti siku zote mnunuaji ndiyo anachagua bidhaa bali bidhaa haichagui mnunuaji lakini kutokana na muonekano wake na maisha yake sikumshangaa ila wanaume wa siku hizi hawataki kukubali kwamba dunia imeshabadilika wanalazimisha kuirudisha nyuma ila ndiyo imeshashindikana.
Kwa kweli aise
Usimjibu mpumbavu kwa kadri ya upumbavu wake,usije ukafanana naye.