A letter to my future lover

Msukuma mwenye busara ya Hali ya juu
 
Kama huna vigezo tulia..
Ya Nini kumtukana dada wa watu...wenye navyo wataenda.
 
Wengi wanaopiga kelele humu hawana vigezo.
SI ajabu huyu jamaa hata angetaka kupeleka mahari mill100 dada angemkataa.

Anaanza ooh Mara machungwa mawili Mara sijui Nini,utadhani mada Ni ya machungwa bwana
halafu naona hajachokozwa kakimbilia matusi sasa angechokozwa sijui ingekuwaje
 
Ahadi Ni deni.
Na wewe nitakutag ili utimize ahadi ya kutembea kwa mguu Hadi mwezini
mimi nimeandika kwa kujiamini kwa sababu najua hawezi kufanya hivyo kama ambavyo siwezi kuenda mwezini kwa miguu
 
Nakuona tu
mimi nimeandika kwa kujiamini kwa sababu najua hawezi kufanya hivyo kama ambavyo siwezi kuenda mwezini kwa miguu
Mimi nimeandika kwa kujiamini Maana tatu kavu si mchezo...unaweza kuzima katikati
..
In case akafanya walahi nitaisoma namba
 
For what?! So much unrealistic specifications of yours.
No wonder at your age too much fantasy.
Intime you will squeze them to none.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…