Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,381
- 18,166
Hahaha jamani mnamuumiza mwenzenuUkiona hivyo nayeye ana husband to be mwingine humu sio ww
Ukweli mchunguUkiona hivyo nayeye ana husband to be mwingine humu sio ww
Tunajiongeza....Sasa mtu unampiga mistari wenyewe chumbani haingii utafanyaje?Kumbe ndivo hua mnafanya
hahahahhahahaa sawa bwanaTunajiongeza....Sasa mtu unampiga mistari wenyewe chumbani haingii utafanyaje?
bila kupendelea jaribu kuvaa uhusika wangu... Nalendwa umemfuata inbox dada nakupenda hajibu. kesho tena vile vile.. haya nitumie namba nikutumie mpesa hataki..
si unamfuata huko jukwaa la kimataifa?
Hahahhahhaa hebu muache babe wangu kanitag miekaniita hivo s wewe
Kumbe huna hata namba yake simu? Huyu mwanamke MPE GuDume amshikishe adabuDear Wife to Be.
Ningekupost hapa lakini unajichelewesha mwenyewe, mimi niko tayari hata leo. Tatizo simu hutaki nikupigie, unaweka standard ambazo zimevuka mipaka. Sasa mimi nifanyeje.?
Text PM hutaki kujibu. Nifanyeje lakini wife to be ?
Mi pia nina moyo.
Nitakupost lini my wife to be?
siku ya kwanza kabisa nakuambia i love you nakumbuka ilikuwa jukwaa hiliHahaha babe upi huo