A grave dereliction of duty!

A grave dereliction of duty!

Kila mtu yuko kimaslai zaidi huo ndiyo ukweli wenyewe aliyebaki msafi ni Mzee Warioba peke yake,maana yake kila mtu anajifikiria yeye na tumbo lake ukileta ujanja yanakukuta ya Mzee Mangura na remote iko kwa Mzee wa Msoga
 
Samia hajajiweka pale mwenyewe. Ni CCM ndiyo ya kulaumiwa. Kufanya shangingi la darasa la saba makamu wa rais na rais. Wengi tulikuwa tunajua uwezo wake. Nasikia huko ndani kuna mkanganyiko mkubwa na hakuna mtu mwenye control ya mambo .
Hivi vyama vya siasa ni hopeless. Mwenyekiti ana nguvu kuliko chama. Angalia Chura Kiziwi alivyokuwa akipiga chini watu wengine (wa chama chake) singlehandedly!
 
Nadhani huyo mama mnamlaumu bure tu, no one ever expected an uprising by Tanzanians, this is a surprise an shocking for everyone, hata yeye hapo alipo atakua kachanganyikiwa, hajui amsklize nani.
I think afanye namna rais wetu Kibaki alivyofanya tulipokiwasha 2008, aliita viongozi wa upinzani wakakutana na kupiga picha ya pamoja na kuweka jopo la maridhiano lililobuniwa na viongozi kutoka pande zote.

Hii ni crisis that can not go away easily, needs wisdom, unawezakuta ikulu huko wanapishana kauli na kugombana wenyewe kila mtu ana suluhu lake, huyu anasema mlimwe marisasi huyu anasema muongee, yule anasema Lissue atolewe jela, yaani fulu tafrani.
Mama aamue kukaa na viongozi wa upinzani, ikiwezekana akae hadi na huyo Lisu ili taifa litawalike.
Kwanza ni bora hii ngoma iende hata wiki maana ccm walikuwa wanadharau sana na kuona watu ni wajinga.
 
Mama,Naibu wake pamoja na waziri mkuu wamefeli pakubwa sana
 
Kabla ujautoa huo uongozi si unahitaji kutengeneza ‘power vacuum’ kwanza.

Sasa tena unataka Samia atoke aseme nini, ni sawa kumtaka aendelee na uongozi i.e usimamizi wa nchi.
 
Kabla ujautoa huo uongozi si unahitaji kutengeneza ‘power vacuum’ kwanza.

Sasa tena unataka Samia atoke aseme nini, ni sawa kumtaka aendelee na uongozi i.e usimamizi wa nchi.
Tayari kuna power vacuum.
 
Kabla ujautoa huo uongozi si unahitaji kutengeneza ‘power vacuum’ kwanza.

Sasa tena unataka Samia atoke aseme nini, ni sawa kumtaka aendelee na uongozi i.e usimamizi wa nchi.
Maajabu haya, hivi mtu anaweza kusema Mama atoke atie uongozi, Uongozi gani huo ambao anao sasa hivi.
Hivi watu wakae kabisa wanamsiliza nini anazungumza, azungumze nini ambacho sisi hatujawahi kusikia anazungumza.
Kwanini Watanzania tupo hivi yarabi, badala ya kusema huyu mtu asionekane tena, wanataka atoke azungumze ! Kama nani.
Tukubali tu kuwa siku aliyotoka anapiga kura , ndio uwe mwisho wake kuonekana kwenye Macho ya watanzania,

Tumemvumilia sana na kejeli zake, maana uongozi aliokuwa anaufahamu yeye , ni kwenda kinyume na mtangulizi wake kwa kila jambo,

Mtangulizi akisema hakuna kuchezes mali ya umma, yeye anawaambia wale,

Wananchi wakijitokeza kutoa shida zao , yeye anasema wakamatwe,

Mtangulizi akisema bandali tumeoigwa , yeye anaitoa,

Yaani typical Mwanamke wake kwa Kiswahili,

Sasa hapa tulipofikia ktk hali hii, ndio unaona kabisa hatujuwa na uongozi, uongozi uliokuwapo ni wa upigaji tu,

Hivi unawezaje kumpa cheo mkwe kama Mchengerwa, tena cheo kinachohusika na mambo ya uchaguzi, hapo unakuwa unatuma ujumbe gani kwa Watanzania, hayo ndio yalikuwa maandalizi ya kuiba na kupika matokeo, kitu kidogo kama hicho , kilimshinda kuwaza, au nddio ubabe wenyewe, kwamba watanifanya nini.
 
Maajabu haya, hivi mtu anaweza kusema Mama atoke atie uongozi, Uongozi gani huo ambao anao sasa hivi.
Hivi watu wakae kabisa wanamsiliza nini anazungumza, azungumze nini ambacho sisi hatujawahi kusikia anazungumza.
Kwanini Watanzania tupo hivi yarabi, badala ya kusema huyu mtu asionekane tena, wanataka atoke azungumze ! Kama nani.
Tukubali tu kuwa siku aliyotoka anapiga kura , ndio uwe mwisho wake kuonekana kwenye Macho ya watanzania,

Tumemvumilia sana na kejeli zake, maana uongozi aliokuwa anaufahamu yeye , ni kwenda kinyume na mtangulizi wake kwa kila jambo,

Mtangulizi akisema hakuna kuchezes mali ya umma, yeye anawaambia wale,

Wananchi wakijitokeza kutoa shida zao , yeye anasema wakamatwe,

Mtangulizi akisema bandali tumeoigwa , yeye anaitoa,

Yaani typical Mwanamke wake kwa Kiswahili,

Sasa hapa tulipofikia ktk hali hii, ndio unaona kabisa hatujuwa na uongozi, uongozi uliokuwapo ni wa upigaji tu,

Hivi unawezaje kumpa cheo mkwe kama Mchengerwa, tena cheo kinachohusika na mambo ya uchaguzi, hapo unakuwa unatuma ujumbe gani kwa Watanzania, hayo ndio yalikuwa maandalizi ya kuiba na kupika matokeo, kitu kidogo kama hicho , kilimshinda kuwaza, au nddio ubabe wenyewe, kwamba watanifanya nini.
Hakuna uongozi pale, afadhali hata huyo Mchengerwa ni mkwe wa sasa.

Mohammed Moyo mkuu wa wilaya ni ex husband wa huyo Wanu Hafidh (mke wa Mchengerwa), jamaa huko Zanzibar hakuwa na shughuli yeyote zaidi ya kuzunguka kwenye ma bar na kulewa tu.

Huyo mama ndio kumleta bara aje kula kodi za watanzania.

Yeye mwenyewe sasa, nchi anaendeshewa na mafisadi master mind Emmanuel Nchimbi (JK kiherehere tu) nashangaa wanaomtaka huyo mtu aongoze nchi.

Ni lazima hili genge litoke amasivyo wataenda iharibu nchi zaidi ya walivyofanya kwa muda mfupi.
 
Nadhani huyo mama mnamlaumu bure tu, no one ever expected an uprising by Tanzanians, this is a surprise an shocking for everyone, hata yeye hapo alipo atakua kachanganyikiwa, hajui amsklize nani.
I think afanye namna rais wetu Kibaki alivyofanya tulipokiwasha 2008, aliita viongozi wa upinzani wakakutana na kupiga picha ya pamoja na kuweka jopo la maridhiano lililobuniwa na viongozi kutoka pande zote.

Hii ni crisis that can not go away easily, needs wisdom, unawezakuta ikulu huko wanapishana kauli na kugombana wenyewe kila mtu ana suluhu lake, huyu anasema mlimwe marisasi huyu anasema muongee, yule anasema Lissue atolewe jela, yaani fulu tafrani.
Mama aamue kukaa na viongozi wa upinzani, ikiwezekana akae hadi na huyo Lisu ili taifa litawalike.
Ni vilaza kama wewe, ambao hamkuliona hili.

Nchi haiwezi kuchezewa na kikundi cha watu wachache. Walishaonywa sana, wasifanye uchaguzi bila maridhiano hawakusikia.
 
Mimi nina swali, mwenye kulifahamu anieleweshe tafadhali maana mimi ni mgeni huku siasani.


Nauliza, ili jeshi lianze rasmi kuendesha nchi ni hadi nini kitokee?
 
Mimi nina swali, mwenye kulifahamu anieleweshe tafadhali maana mimi ni mgeni huku siasani.


Nauliza, ili jeshi lianze rasmi kuendesha nchi ni hadi nini kitokee?
Inabiki kuwe na chaos ya kufanya nchi isitawalike au wananchi waikamate ikulu ndipo wao wapate uhalali wa kuingilia. Jeshi likiikamata ikulu, kabla ya wananchi hayo yatakuwa ni mapinduzi ya kijeshi. Jeshi letu linanidhamu, halitaki kuleta "presedence" hiyo.
 
Inabiki kuwe na chaos ya kufanya nchi isitawalike au wananchi waikamate ikulu ndipo wao wapate uhalali wa kuingilia. Jeshi likiikamata ikulu, kabla ya wananchi hayo yatakuwa ni mapinduzi ya kijeshi. Jeshi letu linanidhamu, halitaki kuleta "presedence" hiyo.

Shukrani.
 
Inabiki kuwe na chaos ya kufanya nchi isitawalike au wananchi waikamate ikulu ndipo wao wapate uhalali wa kuingilia. Jeshi likiikamata ikulu, kabla ya wananchi hayo yatakuwa ni mapinduzi ya kijeshi. Jeshi letu linanidhamu, halitaki kuleta "presedence" hiyo.
Na wananchi hii chance tunaichezea, sisi hivi utasikia CCM, bado ipo inatoa maagizo, tuliletwa hapa picha inaonesha ndege yetu inaenda Dubai, hatukutaka hata kujishughukisha, kujua inaenda kufanya nini na nani yumo, KIMYA, hata hatujali
 
Mimi nina swali, mwenye kulifahamu anieleweshe tafadhali maana mimi ni mgeni huku siasani.


Nauliza, ili jeshi lianze rasmi kuendesha nchi ni hadi nini kitokee?
Jeshi litaendesha nchi pale tu kutapotokea serikali ya kiraia imeshindwa kudhibiti hali ya utulivu na raia kufuata sheria.

Kushindwa huko kwaitwa kwa kiingereza "significant failure" na huwa ni zaidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi.

Sasa kwa Tanzania as a case study tuangalie hizo significant failures ni zipi, bila shaka wazifahamu.

Jeshi likiona kufeli huku kwahatarisha usalama wa taifa na wa raia huamua kuingia barabarani ili kurudisha utulivu.

Kutokana na hayo jeshi pia huweka amri ya kutotembea hovyo na haliikizidi kuwa mbaya basi huwa marshal law ambayo huwa ni kwa muda fulani. Sasa hadi sasa haijulikani ni nani katoa order ya carfew kutotembea baada ya saa 12 jioni ni jeshi au ni polisi na kama ni polisi wametumia sheria ipi?

Lakini hapohapo CDF hawezi kuchukua uamuzi wa kuweka Marshal Law au Carfew kama hakuna makubaliano ya "chain of command" nzima na utii wa vikosi vitavyotumika.

Ila hadi sasa kesi hii ipo very complex na yahitaji akili za ziada na si kukurupuka maana kuna taarifa za kuwepo mercenaries.
 
Back
Top Bottom